Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

hawa wanweza kuwatia pressure tuwaacheni wafu wazikane wao kwa wao hatuna haja ya kuumiza vichwa maana mwisho wao mbon nauona umekaribia kunawengine wanatakiasi chama
 
Hili lililomkuta EDWARD LUWASA linatudhihirishia kuwa kweli siasa ni mchezo mchafu. Kila mtu atasema analojua lakini ukweli utabakia palepale, tunauzwa tuko hai lakini muda si mrefu yatauzwa hadi maiti na makaburi ya ndugu zetu.
 

He will PLAY all TRICKS in the BOOKS... BUT yake yatamfikia 2015... REMEMBER What GOES AROUND COMES AROUND

Kama LOWASSA hakumsaidia kumfanya RAIS kwa sababu ya MAKUNDI then TIME WILL TELL!!!

hivi wewe unalalamika huyo lowasa wako atatumia nguvu nyingi kutafuta madaraka alafu?ANA MOYO WA KUTUMIA PESA ZAKE KUWATUMIKIA WATANZANIA?SIASA NI BIASHARA? FIKIRIA UJUE!
 
In politics, no permanent friends or enemies, but people moves according to interests and opportunities....! Raila Odinga.
 
Hamna kitu,kikwete kamzidi tu maarifa huyu mmasai feki,hawezi kuwa rais bil mbeleko ya mwenyekiti huo ndio ukweli,jk alibebwa pia na mbeleko hiyo,ni mkapa tu ndio aliingia kwa mbeleko ya mzee wa butiama

Usije uka under-estimate kauli ya Kubwajinga......I have an exact knowledge about the end of the man now in show.....Soon and very soon mtajua kuwa maharagwe siyo mboga bali ni sumu ya tumbo......Hii issue haimhusu yeyote kati yao bali haki ya watanzania hapa wanatengeneza tu mabomu ya kujimaliza wenyewe kwa wenyewe ili mwananchi mwenye haki yake abaki salama...Mimi na pop corn zangu already celebrating na ninawatangazi ujio wa mvua kubwa msitoke nje bila miamvuli yenu maana ni garika hakuna atakaye pona....
 
Huyu kijana anaejiita Mzee Mwanakijiji, anaonesha kwa dhati kabisa kuwa ni fataani kwelikweli na anataka kuwaaminisha watu yasiyokuwepo.

Humjui Kikwete humjui Lowassa, unawasikia tu.

Mtakufa navyo vijiba vya roho!

Acha mipasho mtoto wa kiume wewe
 
hivi wewe unalalamika huyo lowasa wako atatumia nguvu nyingi kutafuta madaraka alafu?ANA MOYO WA KUTUMIA PESA ZAKE KUWATUMIKIA WATANZANIA?SIASA NI BIASHARA? FIKIRIA UJUE!

LOWASSA sio Wangu hata KIDOGO; Ninachangia HOJA zenu na kuwakumbusha kwanza PAMOJA na YOOOTE mnayoshingilia ya KIKWETE angalia kwanza alitokea wapi? NI VIJE alipata URAIS Ilikuwa ni SYSTEM hii anayoitumia? au ni SYSTEM a MAKUNDI iliyomneemesha... Inasemekana kama SIO HILO KUNDI la KIKWETE kuwa KALI GUMU; Lakini kama lingekuwa ni la lelemMa la kawaida... SIDHANI hata 2005 ASINGEKUWA RAI... Mimpango bado ilikuwa kati ya SALIM A SALIM na MZEE MALECELA...

Ukitaka kuwa MKWELI Jaribu kuangalia HISTORIA ya UCHAGUZI wa KIKWETE kuwa RAIS... Hakuupata MARA MOJA ni kwanini? na ni nani bado walibaki na YEYE kuhakikisha anashinda huo URAIS????
 
Waandishi na nyie mnaoandika makala ndio wanaoingiza watu mkenge kwa kuwaaminisha watu kile mnachokiamini nyie bila kutazama ukweli na mara zote mnakuwa wakwanza kujitoa kwamba amuhusiki. Wakati mwingine mnaelezea kitu mpaka watu wanaamini mnajua kumbe hisia zenu, wakati mwingine hata field amuhendi kutazama hasa mchezo wenyewe sio Lowasa tu hata vyama vya upinzani washaingia sana mitego yenu.
 
Mimi nashauri hizi taasisi za uchunguzi (TAKUKURU na CAG) tulizo nazo zifike mahali zitoe repoti juu ya kashfa kama hizi ambazo zinazungumzwa zungumzwa na hata baadhi ya viongozi wajuu wa vyama na nchi bila kuwa na ushahidi. Ukifuatilia kwenye vikao vya vyama kuna kipindi EL alimbana sana mkulu juu ya Richmond na Nape kumchafua, isingekuwa busara za Mzee Ben leo Nape angekuwa kijijini kwa analima. Naamini kumwita mtu fisadi kama haijawa proven na Taasisi za kiuchunguzi itakuwa hatumtendei haki Mzee EL.
 
Umelipwa nyingi sana sana?? Ulitaka wabishane hadharani kwa kutaja kasoro na ushahidi wa madhambi yake? Nini maana ya kuwa kiongozi?
 
Mimi nashauri hizi taasisi za uchunguzi (TAKUKURU na CAG) tulizo nazo zifike mahali zitoe repoti juu ya kashfa kama hizi ambazo zinazungumzwa zungumzwa na hata baadhi ya viongozi wajuu wa vyama na nchi bila kuwa na ushahidi. Ukifuatilia kwenye vikao vya vyama kuna kipindi EL alimbana sana mkulu juu ya Richmond na Nape kumchafua, isingekuwa busara za Mzee Ben leo Nape angekuwa kijijini kwa analima. Naamini kumwita mtu fisadi kama haijawa proven na Taasisi za kiuchunguzi itakuwa hatumtendei haki Mzee EL.

Lowasa ni causality in politics, watu wanokumbwa na mikasa kama hiyo ni vigumu sana kunyanyuka.
 
I hate lowassa! Hayupo straight kwangu, na wana ccm wengi wana hiki kirusi, kuna likitu mioyoni mwao!! Hatufai watanzania!! Next????
 
I hate lowassa! Hayupo straight kwangu, na wana ccm wengi wana hiki kirusi, kuna likitu mioyoni mwao!! Hatufai watanzania!! Next????

Mods Msaada jamani, tunaomba afunguliwe, manake atakuwa amejifunza.......... wadau Asprin, kasiko, BADILI TABIA, Nicas Mtei, Blaki Womani, Preta, charminglady, Arushaone, Filipo, Ruttashobolwa, Kaizer, Mr Rocky, Erickb52, Paw, marejesho, Lily Flower, Bishanga, sweetlady na wengine tumsaidie mdhamana huyu mrembo dah!
BTW, alifikiri jukwaa la stress ni mchezo ...................... mwulizeni Paw manake alishanipiga selo mara kazaa hahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Mods Msaada jamani, tunaomba afunguliwe, manake atakuwa amejifunza.......... wadau Asprin, kasiko, BADILI TABIA, Nicas Mtei, Blaki Womani, Preta, charminglady, Arushaone, Filipo, Ruttashobolwa, Kaizer, Mr Rocky, Erickb52, Paw, marejesho, Lily Flower, Bishanga, sweetlady na wengine tumsaidie mdhamana huyu mrembo dah!
BTW, alifikiri jukwaa la stress ni mchezo ...................... mwulizeni Paw manake alishanipiga selo mara kazaa hahaaaa

mambo ya njii yamekaa varuvaru kiasi yanatia hasir unajikuta unajibu kwa hasira jukwa la stress ni kusoma na kuondoka pole cacico ndio maana Mungi ameanza kulikimbia jukwa taratibu hahahahah Filipo je lol
 
Last edited by a moderator:
Kuna bado ni waumini wa chaguzi za kikomunisti? Was this an election or a selection, typical communist style!!
 
Back
Top Bottom