Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
Bora wewe umeelewa sasa maana tulisema mashabiki wa EL hawaitakii mema CCM na jibu ni mkutano Mkuu jua wengi wapo upinzani walijua CCM 2015 watatupa Garasa wao watoe KingThis time hatarudi!, he won't play anymore, "the games people play"!.
"The winner takes it all, the looser standing small!".
P.
Salama ya EL kwa karata ya mwisho ni CC leo mchana km hakuingia ndio byebye na kundi lake kwani nafasi finyu ktk 18 maana kuna wenyeviti wa Jumuia zote Maspika wawili
Nape na Mangula.hivyo bora aendeleze biashara zake alphatel, wasomali wa Intergrated, Tanzanite, vyombo vya habari nk
Urais atulie Mkiti wake kamwambia wasikichafue Chama wangoje May 2015