Polisi wamuongezee ulinzi ...Tarime hawataki mchezo
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863 [/QUOTE
Kama wewe ni mtu mzima; basi akili yako ya kupambunua mambo ni changa sana! Vinginevyo wewe ni mtoto hujui usemalo!
Haya ndiyo maajabu ya Ngamia kuicheka nundu ya Ng'ombe! Unawezaje kumnyooshea kidole Lowassa kwa ufisadi wakati wewe ni ccm? Kama ni mtu mzima utaelewa maana sihitaji kukulainishia kila kitu!
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
Angalieni hapa.
Usinichulie wewe nani ccm? usinitaftie nuksi kabisaaa nitake radhi.Daah gazeti la june 10th 2015 mnalileta leo kweli?? Ccm kweli maji yako shingoni
Usinichulie wewe nani ccm? usinitaftie nuksi kabisaaa nitake radhi.