Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
kama jk tena akiwa rais alipigwa mawe mbeya , itakuwa huyu raia mtia nia tu , tutafakari kwanza kabla ya kupinga .
Mkuu wanaopinga ni wale ambao nguvu ya huyu jamaa imewafumba macho. Hata wale wanaolundikana kumfuata Edo waweza kukuta hawajitambui wanafanya nini ila wanakuja kujishangaa akishaondoka. Uliza kwa mtu yeyote aliyetoka Nigeria atakuambia nguvu za huyu jamaa zimeanza kutiliwa mashaka mamlaka yake yatoka wapi?