DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,686
Sheria ni sheria wameambiwa pokea tafuna kisha songa.Kama hali ni hiyo kwa nini hao vijana wa tarime wasiripoti takukuru???? kulalamika na majungu hakutawasaidia
Sheria ni sheria wameambiwa pokea tafuna kisha songa.Kama hali ni hiyo kwa nini hao vijana wa tarime wasiripoti takukuru???? kulalamika na majungu hakutawasaidia
Binafsi nafikiri kitendo hicho si cha kistaraabu,Kwani wangelimsikiliza then wakatae hoja zake!.But kuna historia mbaya itakayowafika hawa viongozi wetu,hususan walioko madarakani......'Kama watanzania watakumbuka vizuri,Serikali hii ya kikwete ndiyo serikali pekee ambayo viongozi wastaafu na hata wa upinzani wamedhalilishwa sana huku yeye aidha akiwa kimya au anachekelea na mwisho HACHUKUI HATUA NA HATA KUKEMEA TABIA HIZO.Alianza mkapa akazomewa...jk kimya...Mwinyi akapigwa kofi huku akiwa kama mwakilishi wake.....warioba akapigwa na makonda...akacheka...Lowasa naye .....kimya!!!!!..Nafikiri hata yeye akistaafu huenda yakamkuta!..Ni vyema watanzania tukapingana kwa hoja badala ya nguvu.
Lita 5 ndiyo full tank? acha uongo mkuu!
Soma vizuri; kaokolewa na kukimbizwa kwenye gari la sivyo akina mura wangemgecha
...tarime
ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa mara. Alipofika tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
update:
View attachment 258863
Habari ya zamani hiyo..akiwa ccm..Nyau ww
Mbeya tunamsubiri kwa hamu labda asije
habari ya mwezi wa sita hiyoo.huna jipya.
Sasa hivi kuna watu Magamba wanatengeneza Magazeti Bandia
Walianza kuwachafua Ukawa kwa kutengeneza
Mwananchi bandia
Mtazania bandia
Majiran bandia
Tanzania Daima Bandia
Ccm Mwaka huu hamtoki !!
Sasa hivi kuna watu Magamba wanatengeneza Magazeti Bandia
Walianza kuwachafua Ukawa kwa kutengeneza
Mwananchi bandia
Mtazania bandia
Majiran bandia
Tanzania Daima Bandia
Ccm Mwaka huu hamtoki !!
hao ndo wana Akili na kuna uwezekano rais akatokea huko mara.jambazi mkubwa ngoja zama zake zina isha july.popote apitapo tunamjua ni fisadi tu.ngoja tumlie pesa zake mana ni kodi xetu alixotuibia.shame on him.