cdm n u waongo aise mtu kapigwa kaokolea napolice hata picha huna
eti koneshwa vidole picha hana eti karushia mawe mawili picha hakuna mtoa nyuzi kaa chizi kweli
Unakataa nini wakati kweli kapigwa wewe. Chzeeni huko huko Arusha sio Mara.
cdm n u waongo aise mtu kapigwa kaokolea napolice hata picha huna
eti koneshwa vidole picha hana eti karushia mawe mawili picha hakuna mtoa nyuzi kaa chizi kweli
Lita 5 ndiyo full tank? acha uongo mkuu!
Mkoa gani ni wa wanawake nataka nikaoe.
Kama hali ni hiyo kwa nini hao vijana wa tarime wasiripoti takukuru???? kulalamika na majungu hakutawasaidiausilolijua kaka kaa kimya!!kuna mengine hayapaswi kujulikana manake ukisikia uipokaa unaweza kujitia kitanzi...ulivyo na moyo mdogo usijue kabisa...kaaa kimya
Jamani tuseme ukweli kama lowasa ni fisadi, Mbowe sio fisadi ndani ya chama chake, kama lowasa ni fisadi Slaa sio fisadi ndani ya chama chake, na wewe uliepost hiii mada sio fisadi wooote ni mafisadi au hakuna mtu ambae sio fisadi ndani ya Tanzania