Lowassa apigwa mawe Tarime

Lowassa apigwa mawe Tarime

Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa tz. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.
Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.
Uwezo wake ni Kuongeza ng'ombe sio watu!
 
Jamani tuseme ukweli kama lowasa ni fisadi, Mbowe sio fisadi ndani ya chama chake, kama lowasa ni fisadi Slaa sio fisadi ndani ya chama chake, na wewe uliepost hiii mada sio fisadi wooote ni mafisadi au hakuna mtu ambae sio fisadi ndani ya Tanzania
 
Na atapigwa tu na akileta ubisha pia atapigwa tu!
 
usilolijua kaka kaa kimya!!kuna mengine hayapaswi kujulikana manake ukisikia uipokaa unaweza kujitia kitanzi...ulivyo na moyo mdogo usijue kabisa...kaaa kimya
Kama hali ni hiyo kwa nini hao vijana wa tarime wasiripoti takukuru???? kulalamika na majungu hakutawasaidia
 
Jamani tuseme ukweli kama lowasa ni fisadi, Mbowe sio fisadi ndani ya chama chake, kama lowasa ni fisadi Slaa sio fisadi ndani ya chama chake, na wewe uliepost hiii mada sio fisadi wooote ni mafisadi au hakuna mtu ambae sio fisadi ndani ya Tanzania

yani maccm ni majinga, ona sasa unachopost
 
Back
Top Bottom