screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,902
- 15,928
Wanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,
Asante!!!
Wanatarime tunasema kwa ccm kama sio MAGUFULI au MUHONGO hatutaki kumuona mtu huku,
Mimi sio kitu ccm, nimeku quote tuu ulivyopost gazeti la mwezi wa 6, sasa hasira za nini mkuu?
Simpendi EL,
Lakini TanzaniaDaima mmeripoti habari kiushabiki sana
nawapenda UKAWA lakini unaweka kichwa kidogo cha habari ati
"Akumbanan na Nguvu ya Chadema, Vijana warusha mawe"
hivi hili nalo ni la kujisifia???
hiyo ni mwezi june kabla ya EL kujiunga na harakati za kweli za ukombozi wa Tanzania.
Kuniita ccm ni sawa na kunizika wakati niko hai.
Hahaa pole mkuu sikutaka kukuzika, nimekuelewa samahani mkuu..Mimi sina chama sema nataka mabadilika na Lowassa ndio atabadilisha hii nchi, ccm inabidi wakubali waachie nchi kiroho safi maana hawajafanya lolote miaka yote 54, sasa wawape wenzao nchi miaka 5 sio mingi tuone kama watafanya the same mistakes ccm wamefanya..
Habari za mwezi Wa sita mneleta Leo, ndo maana mnashindwa kujua nyakati zinaendaje
Polisi wamuongezee ulinzi ...Tarime hawataki mchezo
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
mtoa post uwe unasoma alama za nyakati
sasa amekua jiwe kuu watampokea haijawahi kutokea.
mtoa post uwe unasoma alama za nyakati
Fisadi wa akina nani sijaelewa mkuuTunazungumzia Tarime
Ebu changia HOJA ya tarime namna gani fisadi wenu alivyopigwa mawe
Haaa..!! rangi ya Lowassa imewachanganya wakadhani ni mzungu wa Barrick. Dah ushamba mwingine..!! Lowassa mbona ni mtanzania mwenzetu wala sio wale wanaowaibieni makinikia.Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.
Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.
Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.
My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.
========
UPDATE:
View attachment 258863
kaokolewa na nani?Soma vizuri; kaokolewa na kukimbizwa kwenye gari la sivyo akina mura wangemgecha