Lowassa apigwa mawe Tarime

Lowassa apigwa mawe Tarime

Mimi sio kitu ccm, nimeku quote tuu ulivyopost gazeti la mwezi wa 6, sasa hasira za nini mkuu?

hiyo ni mwezi june kabla ya EL kujiunga na harakati za kweli za ukombozi wa Tanzania.

Kuniita ccm ni sawa na kunizika wakati niko hai.
 
''Akumbana na nguvu ya Chadema, vijana ''wa chadema'' warusha mawe''
Huyu ndie rais ajae !!!
 
Simpendi EL,
Lakini TanzaniaDaima mmeripoti habari kiushabiki sana
nawapenda UKAWA lakini unaweka kichwa kidogo cha habari ati
"Akumbanan na Nguvu ya Chadema, Vijana warusha mawe"
hivi hili nalo ni la kujisifia???

Kwahiyo unataka kusema UKAWA ndo walifanya hivi?
 
hiyo ni mwezi june kabla ya EL kujiunga na harakati za kweli za ukombozi wa Tanzania.

Kuniita ccm ni sawa na kunizika wakati niko hai.

Hahaa pole mkuu sikutaka kukuzika, nimekuelewa samahani mkuu..Mimi sina chama sema nataka mabadilika na Lowassa ndio atabadilisha hii nchi, ccm inabidi wakubali waachie nchi kiroho safi maana hawajafanya lolote miaka yote 54, sasa wawape wenzao nchi miaka 5 sio mingi tuone kama watafanya the same mistakes ccm wamefanya..
 
Hahaa pole mkuu sikutaka kukuzika, nimekuelewa samahani mkuu..Mimi sina chama sema nataka mabadilika na Lowassa ndio atabadilisha hii nchi, ccm inabidi wakubali waachie nchi kiroho safi maana hawajafanya lolote miaka yote 54, sasa wawape wenzao nchi miaka 5 sio mingi tuone kama watafanya the same mistakes ccm wamefanya..

hapo sasa tuna ongea lugha moja!
 
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.

Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.

Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.

My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.

========
UPDATE:

View attachment 258863

Kwa kweli ccm pumzi imekata. Sasa hii thred ya toka june inawasaidiaje kwenye kampeni za sasa hivi? Hivi tuamini mlioko huko wote hayupo anaejua kwamba katika siasa usiku mmoja tu unaweza kubadilisha misimamo na hata matokeo ya kura? Nawashauri wale wenye uelewa watoroke na kujiunga ukawa wao pumzi ni ya kufikia.
 
Ni katika harakati zake za kutafuta wadhamini mikoa mbali mbali, kazi anayoifanya kwa kutumia usafiri wa ndege binafsi alizopewa na marafiki zake kama anavyodai.

Leo ilikuwa zamu ya mkoa wa Mara ambapo amedhamiria kufikia wilaya zote za mkoa wa Mara. Alipofika Tarime ndipo wananchi walishikwa na hasira na kuanza kutoa maneno mbalimbali. Maneno hayo mengine yalisikika yakisema Mwizi wa rasirimali zetu. Hapo ndipo mawe yakisema kurushwa toka kwa huo umati ndipo hatua za kumnusuru zilichukuliwa kwa kupeleka ndani ya gari.

Lakini kwa hapa Musoma, vijana wa bodaboda wapatao 200 kila mmoja alikuwa anapewa 20,000 /= na mafuta lita 5 yaani full tank, ili waweze kufanya mapokezi.

My take:
Mkoa wa Mara hatuhitaji mafisadi watutawale.

========

UPDATE:

View attachment 258863
Haaa..!! rangi ya Lowassa imewachanganya wakadhani ni mzungu wa Barrick. Dah ushamba mwingine..!! Lowassa mbona ni mtanzania mwenzetu wala sio wale wanaowaibieni makinikia.
 
images
images
upload_2017-10-12_13-5-30.jpeg
 
Back
Top Bottom