sIKU AKIREJEA SERIKALINI ETI KAMA RAI MJUE KABISA HAKUNA TZ YENYE AMANI TENA KUTAKUWA KAMA ELDORET KULE KENYA.hAO WAANDISHI WALOHONGWA NDIO TUMEANZA KUWAONA NA SIE HATUWEZI KUKUBALI KUWA RAIS YEYE LOWASA NI MPAKA WATZ TUAMUE WENYEWE.Jamanieee ccm si wamnyang'anye uanachama aache kukisumbua chama na hao akina RA PIA.Ataishia kusema kaonewa kwann hakwenda kuwaeleza kamati ukweli alioujua yeye kama waziri mkuu?Sitaki kusikia kabisa etii kamati haikunihoji.
CCM yenyewe wamekaa kimya na wala sitashangaa kuona wakimpitisha kama mgombea mmojawapo wa kiti cha urais,si umeanza kusikia minong'ono ndani ya chama kuwa utamaduni wa kumwachia kiongozi aliye madarakani vipindi viwili umepitwa na wakati.Swali langu ni kuwa CCM wakimpitisha wananchi mnacho cha kufanya si atapita tuu kwa wingi wa kura kama sio asilimia 65 na zaidi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mimi yangu macho na ikumbukwe pia kuwa huyu EL ni mtu wa visasi,akipata nafasi hii atafanya mambo ya ajabu kwani ameshasema kuwa wabaya wake watamtambua na kama hivyo ndivyo ilivyo basi tujue kuwa watu wengi sana wataumia.