Mheshimiwa Zitto,
Wewe ndugu yangu ukiwa kati ya watanzia unayetambua vizuri influence ya kina lowassa, rostam, chenge na wengine...unataka kutuconvice kwamba Jopo la majaji litakuwa huru? I dont believe and i dont want to believe kwamba haki itapatika through jopo la majaji
Pasco...Off all the people Lowassa ndio wakuongea mambo ya Natural Justice? yeye alikuwa anawafanyia watu anaowafukuza natural justice? kama unakumbukumbu nzuri Lowassa alimfukuza Mkurugenzi wa Same kwa chuki binafsi kisa alikuwa ana msupport Sumaye, alimfukuza kwenye kikao
Wewe ndugu yangu ukiwa kati ya watanzia unayetambua vizuri influence ya kina lowassa, rostam, chenge na wengine...unataka kutuconvice kwamba Jopo la majaji litakuwa huru? I dont believe and i dont want to believe kwamba haki itapatika through jopo la majaji
Pasco...Off all the people Lowassa ndio wakuongea mambo ya Natural Justice? yeye alikuwa anawafanyia watu anaowafukuza natural justice? kama unakumbukumbu nzuri Lowassa alimfukuza Mkurugenzi wa Same kwa chuki binafsi kisa alikuwa ana msupport Sumaye, alimfukuza kwenye kikao