Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 128
You don' tell me!
Invisible,
Hata mimi ninaweza kumpigia, kwa nini? kwa sababu sitaona tofauti yoyote, ikitoke scenario kwamba wanagombaia hawa wawili nitampigia! sababu ,kwanza wote ni sawa pili hulka yangu napenda mtu akliye muwazi kama ni mwizi ni mwizi na kama ni msafi ni msafi kwani wote hawa wana dawa.
Kitakachofanya nimpigie ni kwamba et least huyu hana miaka 5 kwenye kiti na kufanya nothing hivyo nitajipa moyo labda anaweza kuwa visited by angel!