Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,092
- 43,265
hahahaha.. Nitawapeni hiyo scenario:
a. Kikwete anaamua kutokugombea mwakani kwa sababu x,y. WanaCCM wanaanza kumpigia kelele sana kuwa awe mgombea "pekee" lakini anazipuuzia na kuamua kuwa hataki tena mzigo huu wa urais kwani umejaa lawama sana (kumbuka JK hapendi kubebeshwa lawama na miaka hii mitano imekuwa mitamu na michungu). JK alitaka kuwa Rais kutimiza ndoto ya kuwa Rais. Period. Ameshaitimiza ndoto hiyo na milele ameingia kwenye historia. Sasa agombee tena 2010 ili kiwe nini? So, tu assume JK hatogombea 2010.
b. Nani ataweza kugombea ndani ya CCM zaidi ya Lowassa? HAKUNA. Hapa ndipo utaelewa "Agenda 21" ni ni nini (2010) ambayo niliielezea mwaka jana ilipoundwa tu na sasa iko full throtle. Kuna imani ya wabunge na viongozi wengi sana kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kukiongoza Chama na Taifa kwa uwezo mkubwa, kufanya maamuzi magumu n.k kama Lowassa. Wapo ambao wanamdharau kabisa JK na kumuita the "so called president". Hawa wanaelewa udhaifu wa JK kuliko mtu mwingine yeyote (ule wa kiongozi, msiende mbali...).
c. Lowassa anafuata ushauri wangu to the core kama nilivyoandika. Wengi labda hamjakumbuka kuwa wiki iliyopita alikuwa Mwanza na Rais ambako alishangiliwa na pole pole mtaona akirudi kwenye sura ya taifa na kilele chake cha kurudi rasmi na moto ulimini itakuwa Bungeni wiki chache zijazo. Ushauri mmoja ambao hatoufuata ni wa kuachana na kina Mwang'onda, Rostam na wengine. Hii kwake ni timu ya ushindi.
d. Atakapofanikiwa kuwa Rais au kumsaidia mtu wake (always ana plan b) kushinda basi tarajieni kisasi.
Ukiweza copy hii na iweke mahali fulani usije ukaanza kuitafuta huko mbeleni.
a. Kikwete anaamua kutokugombea mwakani kwa sababu x,y. WanaCCM wanaanza kumpigia kelele sana kuwa awe mgombea "pekee" lakini anazipuuzia na kuamua kuwa hataki tena mzigo huu wa urais kwani umejaa lawama sana (kumbuka JK hapendi kubebeshwa lawama na miaka hii mitano imekuwa mitamu na michungu). JK alitaka kuwa Rais kutimiza ndoto ya kuwa Rais. Period. Ameshaitimiza ndoto hiyo na milele ameingia kwenye historia. Sasa agombee tena 2010 ili kiwe nini? So, tu assume JK hatogombea 2010.
b. Nani ataweza kugombea ndani ya CCM zaidi ya Lowassa? HAKUNA. Hapa ndipo utaelewa "Agenda 21" ni ni nini (2010) ambayo niliielezea mwaka jana ilipoundwa tu na sasa iko full throtle. Kuna imani ya wabunge na viongozi wengi sana kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kukiongoza Chama na Taifa kwa uwezo mkubwa, kufanya maamuzi magumu n.k kama Lowassa. Wapo ambao wanamdharau kabisa JK na kumuita the "so called president". Hawa wanaelewa udhaifu wa JK kuliko mtu mwingine yeyote (ule wa kiongozi, msiende mbali...).
c. Lowassa anafuata ushauri wangu to the core kama nilivyoandika. Wengi labda hamjakumbuka kuwa wiki iliyopita alikuwa Mwanza na Rais ambako alishangiliwa na pole pole mtaona akirudi kwenye sura ya taifa na kilele chake cha kurudi rasmi na moto ulimini itakuwa Bungeni wiki chache zijazo. Ushauri mmoja ambao hatoufuata ni wa kuachana na kina Mwang'onda, Rostam na wengine. Hii kwake ni timu ya ushindi.
d. Atakapofanikiwa kuwa Rais au kumsaidia mtu wake (always ana plan b) kushinda basi tarajieni kisasi.
Ukiweza copy hii na iweke mahali fulani usije ukaanza kuitafuta huko mbeleni.