Lowassa anasafishwa!

Lowassa anasafishwa!

We Ipole kama una tatizo na ushahidi wa Lowasa au Rostam either una undugu nae or umekula fadhila zake just like Kikwete and that is the reason period.
 
Tatizo sio opposition bali wapiga kura NDIVYO TULIVYO tukipewa fulana moja tu tunawapa ulaji wa miaka mitano mizima wakati fulana ukiifua mara mbili tu ndani ya mwezi inaruka hadi juu ya kitovu hapo unampa mwanao kwenda kuchungia ng'ombe huku tukiimba nambari wani ehhhhhhh!

Wapiga kura ni tatizo, lakini na tume ya uchaguzi jee?, tume ichaguliwe na waliopo madarakani, haiwezi kuweka mazingira ya wapinzani kushinda, hii ni sawa na kesi ya kima, hakimu ngedere.

Kuhusu Lowasa afikishwe mahakamani kwa kosa lipi?. Manake naona mjadala unendelea bila kutaja kosa hili ama lile.
 
Tatizo sio opposition bali wapiga kura NDIVYO TULIVYO tukipewa fulana moja tu tunawapa ulaji wa miaka mitano mizima wakati fulana ukiifua mara mbili tu ndani ya mwezi inaruka hadi juu ya kitovu hapo unampa mwanao kwenda kuchungia ng'ombe huku tukiimba nambari wani ehhhhhhh!



Mkuu,
Mimi nadhani tatizo kubwa lililopo ni sisi wenyewe, HATUPIGI KURA. Kuna watu wengi sana hawapigi kura kutokana na sababu mbali mbali ikiwa ni kukatishwa tamaa na wizi wa kura, ubabaishaji wa tume ya uchaguzi na mengine mengi. So i think tukiamasishana tukapiga kura kwa wingi then tutaondoa hawa mafisadi.
 
Mkuu,
Mimi nadhani tatizo kubwa lililopo ni sisi wenyewe, HATUPIGI KURA. Kuna watu wengi sana hawapigi kura kutokana na sababu mbali mbali ikiwa ni kukatishwa tamaa na wizi wa kura, ubabaishaji wa tume ya uchaguzi na mengine mengi. So i think tukiamasishana tukapiga kura kwa wingi then tutaondoa hawa mafisadi.

Hatupigi kura tumpigie nani wakati wapinzani hawajipangi wagombea sita against CCM tunazigawa kura zetu demokrasia yetu imejaa ukabila,udini na umimi ndio maana tunashindwa kusimamisha mgombea mmoja ama wawili vyengine hivi si vyama ni mauzauza tu maslahi first.
 
Tatizo hatuna kiongozi hata mmoja mwenye uwezo wa kuviunganisha vyama vya upinzani na akitokea kiongozi atakaeonyesha uwezo huo basi upinzani utakuwa na nafasi kubwa ya kushinda.
 
Mkuu,
Mimi nadhani tatizo kubwa lililopo ni sisi wenyewe, HATUPIGI KURA. Kuna watu wengi sana hawapigi kura kutokana na sababu mbali mbali ikiwa ni kukatishwa tamaa na wizi wa kura, ubabaishaji wa tume ya uchaguzi na mengine mengi. So i think tukiamasishana tukapiga kura kwa wingi then tutaondoa hawa mafisadi.

Hilo neno HATUPIGI KURA naliunga mkono 100%, mimi hufanya utafiti mwepesi kwa vijana walalahoi waliopigika kisawasawa ambao ni wengi katika jamii yetu, natoa kitu kidogo kwa yeyote atakayenionyesha kadi ya kupigia kura ili nimkatie chochote kitu kwa siku hiyo, majibu ni kwamba more than 75 hawana kipande cha kupigia kura ila mdomoni wanangenga sana na jambo hilo wapinzani wanapaswa waliangalie kwa makini sana na hili nitofauti kubwa kwa akina mama na wazee kwani wanatunza kadi zao ili waje wauze wakati unapofika muafaka wapate chochote, je unajua sasa hivi kuna kampeni ya nyumba hadi nyumba kujua nani ni wapinzani? ili wapange bei ya kuwanunua?
 
Kuna tetesi na ambazo zimepenyeza kwenye vyombo vya habari leo kuwa mh. Lowasa bado anoota uraisi/ura-hisi ameunda kambi ya kumsaidia na kampeni....kama kuna mwenye deatils zaidi tutafurahi kuzipata in detail..

Hivi kasahau ushauri wa mzee mwanakijiji?
 
soma MWANAHALISI KAMA UNA MAPESA YA KUCHEZEA
 
Balaaa hivi ataanzaje?mwaka gani sasa 2010 au 2015?
 
Hata mimi nimesoma mwanahalisi na kuunganisha na ile thread iliyozungumzia kununuliwa hisa za channel 10.

Nimeangalia jana taarifa ya michezo ya channel 10, nimeona Mh. Lowassa akifunga mashindano ya Lowassa cup kule monduli na kupewa coverage ya dakika zisizopungua 4 hivi.

Kumbukumbu zangu zikanirudisha kwenye thread ya Mwanakijiji nikajua kweli harakati za jamaa kurudi kwenye siasa za kitaifa zimeishaanza!
 
ikitokea akagombea uraisi me nitampa kura yangu.
 
sikio la kufa ...........................? malizia mwenyewe we si Mdanganyika bwana
 
ikitokea akagombea uraisi me nitampa kura yangu.

Mimi nadhani kama kweli atagombea itakuwa habari nzuri. Maana kama atahukumiwa kwa kigezo cha ufisadi hata JK mwenyewe anatuhumiwa kuingia ikulu kwa pesa za ufisadi. Kwangu naona itakuwa habari nzuri maana yake sasa tutaanza kuona upinzani mkubwa kwa rais aliyeko madarakani na hilo litakuwa zuri kwa ukuaji wa demokrasia. Na itakuwa somo kwa CCM kuwa mtu akichaguliwa kuwa rais siyo lazima aende vipindi viwili.

Kwangu mimi natoa shime kwa Lowassa kuchukua fomu na kupiga kampeni. Kama wananchi wanakutaka watakuchagua. Lakini ukichukua fomu katika nchi utakuwa umefanya kitendo cha kijasiri cha kuthubutu kumchallenge rais aliyeko madarakani ambaye mnatoka chama kimoja.
 
Kama ni kwa tiketi ya CCM, hata usipompa kura yako wewe, atapeta tu.
 
Mimi nadhani kama kweli atagombea itakuwa habari nzuri. Maana kama atahukumiwa kwa kigezo cha ufisadi hata JK mwenyewe anatuhumiwa kuingia ikulu kwa pesa za ufisadi. Kwangu naona itakuwa habari nzuri maana yake sasa tutaanza kuona upinzani mkubwa kwa rais aliyeko madarakani na hilo litakuwa zuri kwa ukuaji wa demokrasia. Na itakuwa somo kwa CCM kuwa mtu akichaguliwa kuwa rais siyo lazima aende vipindi viwili.

Kwangu mimi natoa shime kwa Lowassa kuchukua fomu na kupiga kampeni. Kama wananchi wanakutaka watakuchagua. Lakini ukichukua fomu katika nchi utakuwa umefanya kitendo cha kijasiri cha kuthubutu kumchallenge rais aliyeko madarakani ambaye mnatoka chama kimoja.
Nakubaliana na mawazo yako.Unajua wana JF tunaangalia upande mmoja wa shilingi,huyu Bw anatuhumia kwa mambo mengi sana ndani ya nchi hii,je mnajua aliyeko juu anatuhumiwa kwa mambo gani? au kwa kuwa yupo juu ndio watu wanaongopa kuongelea mazambi yake.Lowassa kama ananiya ya kugombea uraisi mwakani ni jambo zuri sana, kwa ni aliyeko juu atapata changamoto kubwa,jamani hii nchi kila mtu ni fisadi maana kizazi chote kimesha ambukiwa gonjwa hili.
 
Back
Top Bottom