bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Wavuvi wa dagaa webzie walionyesha bango linasema zitto ni kama mandela...mxxxx akili za wavua dagaa hawa
Kwa hiyo unamaanisha Tanzania nzima wavua dagaa wanapatikana KG peke yake
Wavuvi wa dagaa webzie walionyesha bango linasema zitto ni kama mandela...mxxxx akili za wavua dagaa hawa
Nape akae mkao mzuri naona fisadi anakuja kwa kasi! Lowassa ni maarufu kuliko CCM. Ukweli ndio huo
FF, Siasa hazitabiriki, EL anaweza kuwa ndie mgombea wa Chadema kama CCM ispomsimamisha kwa maana mimi naujua msimamo wa Dr.W.Slaa kuhusu kugombea 2015, na nimeusikia kwa masikio yangu mwenyewe, tena wakati anautoa msimamo wake, na Josephine alikuwepo!, ila kwa vile aliutoa tukiwa katika mazingira ya off the record, hivyo siwezi kuuweka humu!Hivi huyu mamvi akigombea 2015 magwanda watamsimamisha nani ashindane nae? Mbowe? au Slaa?
kwi kwi kwi teh teh teh!
cc Pasco, Ben Saanane, Yericko Nyerere, Godbless J Lema, Dr.W.Slaa, Josephine
Huyu jamaa ni kiboko.cdm wakisikia jina lake kitu kinagonga chupi
CCM itafanya kosa kubwa sana kumsimamisha Lowassa kuwa mgombea wa Uraisi kwa tiketi ya CCM. Lowassa ana machafu na mabaya mengi ambayo yanaweza kumuangusha vibaya sana. Hii ni ishara ya kuiachia Chadema kuingia Ikulu.
Tukumbuke katika uchaguzi wa jimbo la Arumeru mashariki jinsi Lowassa alivyouumbuka wakati akijaribu kumpigia kampeni mkwe wake dhidi ya mgombea wa Chadema.
Kuna watu safi na wazuri ndani ya CCM ambao wanakubalika nje na ndani ya chama. Hawana doa la ufisadi na ni waadilifu, wana uzalendo wa kweli na Tanzania yetu na wana uwezo wa kujenga na kupangua hoja.
Kwa maoni yangu ninamuona Mh Wassira tu ndiye mwenye uwezo wa kusimama na kupeperusha bendera ya CCM katika kugombea kiti cha Uraisi.
Laigwenan noma....kaeni chonjo.
FF, Siasa hazitabiriki, EL anaweza kuwa ndie mgombea wa Chadema kama CCM ispomsimamisha kwa maana mimi naujua msimamo wa Dr.W.Slaa kuhusu kugombea 2015, na nimeusikia kwa masikio yangu mwenyewe, tena wakati anautoa msimamo wake, na Josephine alikuwepo!, ila kwa vile aliutoa tukiwa katika mazingira ya off the record, hivyo siwezi kuuweka humu!
Pasco.
FF, Siasa hazitabiriki, EL anaweza kuwa ndie mgombea wa Chadema kama CCM ispomsimamisha kwa maana mimi naujua msimamo wa Dr.W.Slaa kuhusu kugombea 2015, na nimeusikia kwa masikio yangu mwenyewe, tena wakati anautoa msimamo wake, na Josephine alikuwepo!, ila kwa vile aliutoa tukiwa katika mazingira ya off the record, hivyo siwezi kuuweka humu!
Pasco.
Huyu jamaa ni kiboko.cdm wakisikia jina lake kitu kinagonga chupi
Kwenye politics hakuna permanent friends wala enemies only comon interest, Adui wa CCM ni Chadema, na adui wa Chadema ni CCM. El amepania lazima agombee kupitia CCM, ikitokea CCM isipomsimamisha 2015, EL atakuwa ndio adui number 1 wa CCM. Kwa vile Chadema inautaka urais na zaidi ya Zittto hawana mtu mwingine yoyote, the adui wa adui yako ni rafiki yako!, na ndipo hapo itakapomkumbatia EL na kumbeleza, akikubali ku cross, CCM itameguka pande kubwa nono na ndipo litatimie lile neno, "rais bora wa Tanzania, lazima atatoka CCM!" na hapo ndipo akina sisi tutajiunga siasa na ndio the only way kwa Chadema kutinga ikulu!, there is no any other way!. Fuatilia kwa makini viongozi wa Chadema kama wanathubutu kumsakama EL!.La kugombea chadema naamini inawezekana wakati wowote ule, maana wakishikwa wanamwachia hata shetani agombee.
Mtaji wa CCM ni wajinga kama hawa..Tena wanaonekana vijana..Tuendelee kushabikia matokeo tutayaona...
Wa-Tanzania mnasikitisha..Hata kama ni ugonjwa wa kusahau..
Huu ni Ukichaa..
Huyu mtu alijiuzulu kwa ufisadi, habari ndiyo hiyo!
Hata apokelewe na kadamnasi ya watu, huo ni ukweli usiopingika.
Ni mchafu hasafishiki!!!
Siku zote nabii huwa hakubaliki nyumbani!. Sometimes you can never know what you have until when you loose it!. JK alipoingia na ile timu yake ya askari wa miamvuli, watu walikuwa na too great expectations, hivyo EL aliposingiziwa kuboronga, alitishwa msalaba ili kwa kuteswa kwake CCM iokoke!. Kilichofuatia hapo ni majanga na majanga kila siku iliyopita ilikuwa ni afadhali ya jana!, ndipo watu wakaujua uwezo wa huyu jamaa!. JK alishine mwanzo kwa kusafiria tuu nyota ya EL, na baada ya kumuengua, nuru ilitoweka!. Watanzania sasa wanajua wanataka nini na nani anayeweza kuwapatia kile wanachotaka!. Sio vyama tena bali ni watu!.Ndiyo upumbavu tulionao sisi watanzania, nimeamini akili ya kufikiri au kutizama mbali hatuna kabisa. Nakumbuka kipindi kile wakati Lowasa natuhumiwa kwa masuala yake ya rushwa mpaka akifikia hatua ya kujiuzulu karibia asilimia yote ya watanzania tulimchukia sana huyu muheshimiwa na tliunga na kufurahia ile kamati ya akina Mwakyembe ya kufichua mafisadi. Nashangaa leo tena hata sijui inatokea wapi nakuta watanzania tunatokea kumpenda Lowasa na kuona kama ndiye mkombozi wetu, hivi najiuliza huyu jamaa kuna kitu gani ameifanyia nchi mpaka inafikia kupendwa kiasi hiki wakati tulimchukia sana ?. Nkumbuka pia Jakaya tulimpenda sana na tukaona ndiye atakuwa mkombozi wetu lakini leo hii hatutaki hata kumskia jina lake kwenye maskio yetu, hii kitu ya kumpenda mtu kulingana na uwezo wake kifedha, muonekano wake ya kimaumbile, dini yake na hata kabila ndiyo vigezo ambavyo watanzania wengi wapumbavu, wasiojielewa, wasiokuwa na future pia wavivu kufikiria ndio wanavitumia katika kumchagua mtu awe kiongozi wao bila kujali vile vigezo stahiki ambavyo mgombea yoyote wa uongozi awe navyo. Sisemi kama Lowasa anataka kugombea ila nimefikiria mbali kidogo kwamaba endapo itatokea huyu jamaa akasimama kwenye uchaguzi nina uhakika atashinda tu maana ameshateka wapumbavu wengi na ndio ambao wengi wana kadi za kupigia kura