Lowassa afunika dar

Lowassa afunika dar

Hivi watanzania sisi mazuzu nini? Hivi akili zetu ziko sawa kweli? Napata wasiwasi, acha niseme, mwenye kupinga alete hoja sio kubwabwaja tu.
Kwa akili ya kawaida tu tena isiyohitaji darasa, kiongozi anayetumia pesa au utajiri wake kupata uongozi anafaa kwa nchi kama hii? Kutumia pesa huenda isiwe tatizo, swali ni je, kama kiongozi, pesa yote hiyo anayotapanya kaipata wapi?? Hivi hatuwezi hata kufikiri kuwa ni kodi zetu hizi hizi zinazokatwa kwenye mishahara yetu au katika bidhaa tunazouza na kununua?? Unashabikia nini kama sio ujinga uliokithiri? Na kwa akili ndogo tu unadhani mtu huyu ana upendo saaana na watu hata atapanye pesa bila hesabu? Ujue kila shilingi anayotoa akipata nafasi anayotafuta atairejesha mahali pake na riba juu! Cha ajabu mtu anashabikia ujinga hapa bila kujua gharama za maisha source ni nini kwa huduma za msingi kama umeme kuwa ghali sana, mnadhani yeye anakisima cha pesa, ni hizo hizo kodi za masikini maana matajiri kodi hawalipi, wanalipa rushwa yenye discount. Nani aijenge nchi kama mawazo yetu ni mgando kiasi hiki pamoja na kwenda shule?
Hivi kwa akili ya kawaida tu, mwalimu JK aliposema umasikini wa mawazo ndo mbaya kuliko wote alimaanisha nini? Simple, alimaanisha katika hiki ambacho huyu mtu mnayemshabikia anacapitalise on, yaani fikra mgando.
Oh ni jasiri na anauthubutu, thibitisha. Acha kushabikia bila kutafakari, nchi hii ni tajiri lakini watu wake walio wengi ni masikini, hivyo usitegemee bepari akamkumbuka masikini.
Mwalim aliuliza Ikulu kuna biashara gani? Sasa ole wa TZ huyu mtu akipata nafasi hiyo, nawahakikishieni pesa zooote alizomwaga kwa viongozi uchwara wa dini wasiomjua Mungu na kwa watu au makundi ya watu tutazilipa mara 100 zaidi, hakuna tajiri anayetupa pesa, hayupo.
Kwa ujumla nchi hii bado haijapata mzalendo wa aina ya kizazi cha akina nyerere, sokoine, kawawa, n.k. ila tusubiri wakati utaamua, ila ushabiki wa kijinga kumsufia mtu anayejulikana public kuwa hafai, ambaye hata boss wake alimkataa waziwazi (mwalim JK), ni mawazo mgando yasiyo na tija kwa taifa letu.
 
Ina maana huyo Lowasa ndo ameshapitishwa na ccm kuwa mgombea wake..? Vpi kuhusu Sitta.. Membe.. Migiro.. Makamba.. Nchimbi.. Wassira na wengineo..?

kwani ccm wao hawamipendi,subir utaona,ccm hawatakaa wajaribu sumu kwa kuonja,lowassa asipopitishwa na ccm kinapogezwa kweny ramani za dunia ,we subir utaona!si unajuwa historia haishiwi wino,we jiandae utupe kura hako
 
Ina maana huyo Lowasa ndo ameshapitishwa na ccm kuwa mgombea wake..? Vpi kuhusu Sitta.. Membe.. Migiro.. Makamba.. Nchimbi.. Wassira na wengineo..?

kwani ccm wao hawajipendi,subir utaona,ccm hawatakaa wajaribu sumu kwa kuonja,lowassa asipopitishwa na ccm kinapogezwa kweny ramani za dunia ,we subir utaona!si unajuwa historia haishiwi wino,we jiandae kutugawia kura yako
 
Leo waendesha bodaboda watu muhimu sana kwenu. Si wavuta bangi, waywa gongo, kila aina ya taputapu wametupiwa wao. Kisa walifanikisha ushindi wa Arusha mjini na vitongoji vyake.

Je mmewawekea hospital za kutosha? Au mtaendelea na katakata Miguu Yao hata Kama ni wa kumweka wa POP
 
kwani ccm wao hawamipendi,subir utaona,ccm hawatakaa wajaribu sumu kwa kuonja,lowassa asipopitishwa na ccm kinapogezwa kweny ramani za dunia ,we subir utaona!si unajuwa historia haishiwi wino,we jiandae kutugawia kura yako

Kwa hiyo mko tayari kubinya demokrasia ya wanachama wenu wa ccm ikitokea wakamkataa kumpitisha kuwa mgombea..?
 
Kibaya kabisa ni pesa inayotumika kwenye kampeni hizi chafu ni zetu wenyewe.. Tanesco wanatakiwa wamlipe huyu jamaa fidia kwa kukatisha mkataba na kampuni yake na Rostam.. Halafu mijitu inafurahia tu hapa na kupongeza..
Sio hiyo tu, hela ya serikali ilyotumika kununulia share Voda ilikuwa ya Sirikali, Leo share zile zinauzwa nusu yake kwa takribani ya Tsh 242 Billion. Hela zote hizo kwa ajili ya uchaguzi. Fikiria ndugu.
 
Huko kupendeka kwake unakuona wewe tu na wenzako wa aina yako (mliopewa vi-pesa ili mpe promo). But rest assured kuwa project yenu imeshindwa hata kabla haijaanza kuwa implemented! Kumbukeni KIBAYA CHAJIUZA...!


Kama kundi hilo lote limekusanyika kwa kupewa pesa basi kazi iliyo mbele yake siyo kubwa.
 
Kwa hiyo mko tayari kubinya demokrasia ya wanachama wenu wa ccm ikitokea wakamkataa kumpitisha kuwa mgombea..?

kwanza untake radhi,mi cina chama ila naamini kwa lowassa,pili kwa hali ilivyo wanachama wa chama chake wanamkubali kwa asilimia zote,ushaidi mzuri ni uchaguzi uliofnyka kwenye chama chake
 
We need Men of actions now no more words...let the people propel this man for he deserves it and will change our political land scape
 
Why Yellow T shirts?

Jordani alitoka vizuri, hakutolewa na mapungufu yake au issue kuwa ngumu.

Kila uzi naulizia huo umati wa bodaboda na huyu mzee ni kwamba ni harambee ama walialikwa ama ni nini?

Hao wote mashabiki wa YANGA walikimbia taifa baada ya simba kuongoza mbili bila hadi half time na hawakuwa na burudani nyingine ila kwenda pale kusikiliza music baada ya mpira kuwanyima burudani..
 
kwanza untake radhi,mi cina chama ila naamini kwa lowassa,pili kwa hali ilivyo wanachama wa chama chake wanamkubali kwa asilimia zote,ushaidi mzuri ni uchaguzi uliofnyka kwenye chama chake

Angekuwa anakubalika kucingekuwa na misele hii tuionayo sasa.. Maana mpaka Sumaye analalamika anachezewa rafu anapopata mialiko inafutwa dakika za mwisho kwa hisani ya Lowasa & co.. Kama walivyoanza na JK 2005.. Wanaendelea kutengeneza mitandao tu.. Na wewe fokonyoko au kwa kujua au kutojua unashiriki kwenye dhambi hii..
 
Last edited by a moderator:
Angekuwa anakubalika kucingekuwa na misele hii tuionayo sasa.. Maana mpaka Sumaye analalamika anachezewa rafu anapopata mialiko inafutwa dakika za mwisho kwa hisani ya Lowasa & co.. Kama walivyoanza na JK 2005.. Wanaendelea kutengeneza mitandao tu.. Na wewe fokonyoko au kwa kujua au kutojua unashiriki kwenye dhambi hii..

kama na nyie mmeona babu anakubalika haitaji kupiga misele,ci mngemwambia atulie ndani kwake na josephine?kuhusu suala la sumaye we mwenyewe cyo mgeni kwako,huyo amebakia kulia lia tua kama cim yakichina ilioishiwa chaji
 
Last edited by a moderator:
Nyinyie endeleeni kumshabikia muaji hakika mtaona malipo ya ushabiki, huu jamaa lowasa nyerere mwenyewe alimfukuza kwa aibu leo nyie mnamkumbatia kwa ulafi wenu wa pesa ila historia itahukumu daima, na huyu mchawi wenu
huyu jamaa ni kiboko.cdm wakisikia jina lake kitu kinagonga chupi
 
Nyinyie endeleeni kumshabikia muaji hakika mtaona malipo ya ushabiki, huu jamaa lowasa nyerere mwenyewe alimfukuza kwa aibu leo nyie mnamkumbatia kwa ulafi wenu wa pesa ila historia itahukumu daima, na huyu mchawi wenu

we kwanza nani kakupa ruhusa yakuchngia yasiyo kuhusu,manake we ni muahamiaji haramu,ile operation kimbunga bado haijakufikia,mambo ya nchi yetu tuachie sis watanzania tuamuwe
 
Nyinyie endeleeni kumshabikia muaji hakika mtaona malipo ya ushabiki, huu jamaa lowasa nyerere mwenyewe alimfukuza kwa aibu leo nyie mnamkumbatia kwa ulafi wenu wa pesa ila historia itahukumu daima, na huyu mchawi wenu

we kwanza nani kakupa ruhusa yakuchngia yasiyo kuhusu,manake we ni muahamiaji haramu,ile operation kimbunga bado haijakufikia,mambo ya nchi yetu tuachie sis watanzania tuamuwe,nenden kwanza mkasuluhishe ugomvi wenu na alshabab
 
huyu fisadi papa siku misukule wakifanikiwa kumfanya rais mim najiua kwa kujitupa ghorofani kwa masikitiko nife2 na waandishh wa habar nitaita
 
Binafsi naona chama chenye nguvu kigoma ni nccr, ikifuatia Chadema na kisha maccm! Maana Nccr wana wabunge wa nne wa kuchaguliwa, chadema mmoja, na ccm wabunge wa 3!

Chadema walikuwa na uwezo wa kushinda viti vingi.... Waliwatimua wale wabunge wa sasa wa NCCR akiwemo yule aliyebatizwa jina jipya na Dr... (Sisimizi)
 
Haikuwahi kutokea hata mara moja Hayati Nelson Mandela iwe kwa dhahiri ama kwa kificho kuendesha usaliti ndani ya chama chake na ikumbukwe Mandela aliikuta ANC. Hadi mauti yanamchukua alibaki loyal kwa Chama na wananchama; hakujiinua nafsi yake kwamba yeye ni maarufu kuliko chama. Kumlinganisha Zitto na Mandela ni kuvuka mipaka ya dhihaka.

Mandela pia ameshawahi kuitwa msaliti.
 
Nyinyie endeleeni kumshabikia muaji hakika mtaona malipo ya ushabiki, huu jamaa lowasa nyerere mwenyewe alimfukuza kwa aibu leo nyie mnamkumbatia kwa ulafi wenu wa pesa ila historia itahukumu daima, na huyu mchawi wenu

Nyerere ndo nani?yeye mwenyewe nyerere alikuwa hafai
 
Back
Top Bottom