Lowassa afunika dar

Lowassa afunika dar

Imedhihirika leo kwamba mh Edward Lowassa sio tu kwamba anapendwa bali pia ni tegemeo kubwa kwa watanzania wanyonge na wa hali ya chini.
Umati wa watu ambao haujawahi kuonekana pamoja na waendesha bodaboda wapatao elfu zaidi ya elfu ishiriki wamejumuika nae leo wakati alipokaribishwa kuwa mgeni rasmi wa chama chao.
Laigwenan noma....kaeni chonjo.
 
wamrudishie basi uwaziri mkuu wake
bora yeye ana uthubutu na sio Pinda
JK umebakiza muda mfupi mpe Lowassa uwaziri mkuu afanye kazi
huyu ana hela hatakuwa na tamaa za kuiba,atawawajibisha wezi na wazembe
 
Haikuwahi kutokea hata mara moja Hayati Nelson Mandela iwe kwa dhahiri ama kwa kificho kuendesha usaliti ndani ya chama chake na ikumbukwe Mandela aliikuta ANC. Hadi mauti yanamchukua alibaki loyal kwa Chama na wananchama; hakujiinua nafsi yake kwamba yeye ni maarufu kuliko chama. Kumlinganisha Zitto na Mandela ni kuvuka mipaka ya dhihaka.

Walio wengi wamemsikia Mandela baada ya kifo chake,hawajui huyu alikuwa ni aina ya watu ambao utokea baada ya miongo mingi.
Ni watu wa kupuuza na kuwapa dharau wanayostahili,mwacheni shujaa wa karne apumzike kwa amani,asilinganishwe na viruka njia.
Mtu ambaye hakustahili hata kufunga gidamu ya kiatu cha Madiba.
 
Lowasa aka a.k.a mamvi aka zooteee mtamuita ndiye next president mpende msipende
Kwa hiyo kura yako moja? Unajiakikishia kama kwamba una mamilioni ya kura au vile wee ndiye muumba kujua yatakayojiri 2015.
Lowassa mwenyewe hajatamka kuwa atagombea hiyo nafasi,lakini wapambe wameshaanza kumlisha maneno ama kweli wapambe nuksi.
 
Kila uzi naulizia huo umati wa bodaboda na huyu mzee ni kwamba ni harambee ama walialikwa ama ni nini?
 
Imedhihirika leo kwamba mh Edward Lowassa sio tu kwamba anapendwa bali pia ni tegemeo kubwa kwa watanzania wanyonge na wa hali ya chini.
Umati wa watu ambao haujawahi kuonekana pamoja na waendesha bodaboda wapatao elfu zaidi ya elfu ishiriki wamejumuika nae leo wakati alipokaribishwa kuwa mgeni rasmi wa chama chao.

hao elfu ishirini walikutana uwanja gani? kimahesabu hata viwanja vya jangwan visingetosha. punguza njaa
 
Huyu mtu alijiuzulu kwa ufisadi, habari ndiyo hiyo!

Hata apokelewe na kadamnasi ya watu, huo ni ukweli usiopingika.

Ni mchafu hasafishiki!!!
 
you have made a point
wamrudishie basi uwaziri mkuu wake
bora yeye ana uthubutu na sio Pinda
JK umebakiza muda mfupi mpe Lowassa uwaziri mkuu afanye kazi
huyu ana hela hatakuwa na tamaa za kuiba,atawawajibisha wezi na wazembe
 
Rais wa 2015 hatatoka kasikazini_uvccm na rizione
 
Duh naitishwa na harakati za lowassan lakini nimejifunz jambo kutoka kwa huyu bwana, kuhusu uvumilivu
 
Back
Top Bottom