rafael mtuvenge
Member
- Nov 11, 2013
- 69
- 10
Naunga mkono hoja nami pia
Siku zote nabii huwa hakubaliki nyumbani!. Sometimes you can never know what you have until when you loose it!. JK alipoingia na ile timu yake ya askari wa miamvuli, watu walikuwa na too great expectations, hivyo EL aliposingiziwa kuboronga, alitishwa msalaba ili kwa kuteswa kwake CCM iokoke!. Kilichofuatia hapo ni majanga na majanga kila siku iliyopita ilikuwa ni afadhali ya jana!, ndipo watu wakaujua uwezo wa huyu jamaa!. JK alishine mwanzo kwa kusafiria tuu nyota ya EL, na baada ya kumuengua, nuru ilitoweka!. Watanzania sasa wanajua wanataka nini na nani anayeweza kuwapatia kile wanachotaka!. Sio vyama tena bali ni watu!.
Hili la Watanzania kuwa ni wapumbavu nalo neno!, kwani CCM imetifanyia nini tangu uhuru na kila siku tunaendelea kuichagua na mwaka 2015 tutaichagua tena!. Tulipomchagua JK 2005 na 2010, tulimchagua kwa sifa zipi zaidi ya sura?!. Kwani Watanzania huwa tunachagua nini haswa?!, hivyo kutuita wapumbavu inaweza kabisa ukawa hujakosea, ila kwa 2015, itategemea kama tutaendeleza upumbavu ule ule au tumeeruvuka sasa tutachagua watu wa ukweli?!.
Kwa wote waliopo, hakuna yeyote anayemkaribia EL kwa karibu labda Magufuli ila ni kwa mbali sana!.
Pasco.
Kiongozi Kama Luwasa hatufai Tanzania maana ni mtu ambae anautafuta Urais kwa njia yeyote ile, bwana luwasa usilamishe jambo huenda halina kheri na wewe,vipi kiongozi msomi kama yeye anaweza sema haya mabodaboda ni ajira kwa vijana wakati akijua huu usafiri nia madhumuni yake si chombo cha kubeba abiria na ni sawa kutumia kwasababu ameona liberia na Uganda wanatumia usafiri huo, amekuwa kama yule dereva anapita barabara ambayo hairuhusiwi kupita lakini kwasababu dereva mwengine kapita na yeye anamufauata.Luwasa anaona mbele ya macho yake jinsi vijana na wananchi wanavyo kufa na kuwa vilema na hayo maboda boda na pia zinavyotumika kwa vitendo vya wizi kwa kukosa kazi, lakini anaona ni sawa kwasababu ya kiu za kupata kura.Serikali inabidi iwatafutie ajira ya kweli hawa vijana siyo kuwadanganya hiyo ni ajira ili mradi apate kura zao, semeniukweli mumewashindwa vijana sasa wakiendesha boda boda au wakiwa machinga sawa na mwisho wengi wao wanaishia kuwa wezi.
wajinga ndo waliwao..
Kama kundi hilo lote limekusanyika kwa kupewa pesa basi kazi iliyo mbele yake siyo kubwa.
ZZK your career is over like Mike anyone Tyson,Jackson,Jordan.
Wewe usiongelee watanzania wote, sema ulimchukia sio watanzania walimchukia. Halafu kutuhumiwa sio kosa. Akisimama atashinda sio kwa sababu ya pesa yake bali ni kiongozi pekee anae kubalika kwa takriban watanzania wote hata kwa wapinzani. Hivi umewahi kuwasikia CDM wakimsema vibaya huyu jamaa?Au na wao hawasemi kwa sababu ya pesa yake?Ndiyo upumbavu tulionao sisi watanzania, nimeamini akili ya kufikiri au kutizama mbali hatuna kabisa. Nakumbuka kipindi kile wakati Lowasa natuhumiwa kwa masuala yake ya rushwa mpaka akifikia hatua ya kujiuzulu karibia asilimia yote ya watanzania tulimchukia sana huyu muheshimiwa na tliunga na kufurahia ile kamati ya akina Mwakyembe ya kufichua mafisadi. Nashangaa leo tena hata sijui inatokea wapi nakuta watanzania tunatokea kumpenda Lowasa na kuona kama ndiye mkombozi wetu, hivi najiuliza huyu jamaa kuna kitu gani ameifanyia nchi mpaka inafikia kupendwa kiasi hiki wakati tulimchukia sana ?. Nkumbuka pia Jakaya tulimpenda sana na tukaona ndiye atakuwa mkombozi wetu lakini leo hii hatutaki hata kumskia jina lake kwenye maskio yetu, hii kitu ya kumpenda mtu kulingana na uwezo wake kifedha, muonekano wake ya kimaumbile, dini yake na hata kabila ndiyo vigezo ambavyo watanzania wengi wapumbavu, wasiojielewa, wasiokuwa na future pia wavivu kufikiria ndio wanavitumia katika kumchagua mtu awe kiongozi wao bila kujali vile vigezo stahiki ambavyo mgombea yoyote wa uongozi awe navyo. Sisemi kama Lowasa anataka kugombea ila nimefikiria mbali kidogo kwamaba endapo itatokea huyu jamaa akasimama kwenye uchaguzi nina uhakika atashinda tu maana ameshateka wapumbavu wengi na ndio ambao wengi wana kadi za kupigia kura
Huyu jamaa anasema Lowasa kafunika mie nasema hivi Lowassa hata akifunua kamwe hawezi kuwaongoza watanzania labda misukule wake kama wewe mleta uzi na familia yako mlozoea kula vya waume wenzenu bure
Haujiulizi pesa anayokuonga wewe kaitoa wapi? na ili iweje?
Wewe mkono wako ni wa mjinga. Unaandika popote na lolote. Wewe familia yangu unaijua? Tumkubali Lowassa kwa lipi? Huyu angekuwa China angeishanyongwa, angekuwa Marekani, angekuwa jela na asingeingia kwenye siasa tena. Hapa Tanzania anategemea huruma ya watu kama wewe and the likes.sasa unalia liaa nn,manake hata familia yenu inamkubali lowassa,sema tu ww ndo umekuwa kicnwa ngumu,lakin hatushangai,manake ili jamii itwe jamii lazma watu kama ww wawepo