Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Nakuongezea na moja!

Hata IMEI za simh hua zinapigwa nyundo! Wanabadili IMEI kama ni kwenye 5, wanaweka nane!

Line ya simu anasajiri kwa jina la mtu mwingine kabisa, vijana wenye njaa, ukimpa 50,000 ukamwambia sina namba za NIDA naomba nisajirie kwa jina lako anakubali, kumbe anaenda kusaidia mharifu!

Wahalifu wengi huchora tukio hata zaidi ya mwaka!

Mawasiliano yao ni Whatsapp na Telegram tu! No video call, no voice call no sms charts!

Anaweza zima simu siku mbili,na akizimia simu Dar anakuja washa akiwa Dodoma!



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wahalifu wengi huchora tukio hata zaidi ya mwaka!



Una HOJA baba mtoto Mwenyewe amekubali ni professional Killers
 
Mawasiliano yao ni Whatsapp na Telegram tu! No video call, no voice call no sms charts!.....


Kwenye WhatsApp wanatumia njia ipi??
Unajua hii
Screenshot_20230313-160008.jpg
 
White magic inatumikaje kumnasa mhalifu? Toa elimu embu
Pana watu Wana high sense of imagination ya kusense tukio na kukupa picha halisi ya muhusika aliyefanya tukio yaani Wana uwezo wa kumtambua muhusika wa uhalifu kupitia imagation.
Ni elimu utumiwa hata na Mashirika makubwa ya kijasusi wanaitumia. Inaitwa PSYCHIC
 

Attachments

  • Screenshot_20230313_155313.jpg
    Screenshot_20230313_155313.jpg
    108 KB · Views: 11
Kuna asilimia nyingi sana huyu bibie alipiga mshindo halafu kawazunguka wenzake..... nadhani pia polisi wataangalia namna alivyoacha kazi.

Siamini kama ni mapenzi.... hii issue itakuwa ni pesa tu inahusika

Ni issue za kikazi hapo ,kuna deal hapo wamerukana tu si bure ,issue za kimapenzi ni easy sana kuzijua on the sport na zinaacha trace kubwa.
 
Tunaomba ufafanuzi mzuri hapa Mshana Jr
Kuna post hapa JF kuhusu yule kijana aliyeenda jela kwa kumpa mshkaji wake geto lake wafanye yao na demu wake jamaa akiwa hayupo
Huko geto ukazuka ugomvi demu akapigwa akafa, jamaa akasepa mazima, kesi ikamwangukia mwenye geto lake akaenda lock up
Kwa maneno yake anasema kilichokuja kumuokoa kwa mujibu wa mpelelezi wake ni taswira ya mwisho kupitia macho ya marehemu... Ilimuonyesha mtu mwingine na sio yeye
 
Pana watu Wana high sense of imagination ya kusense tukio na kukupa picha halisi ya muhusika aliyefanya tukio yaani Wana uwezo wa kumtambua muhusika wa uhalifu kupitia imagation.
Ni elimu utumiwa hata na Mashirika makubwa ya kijasusi wanaitumia. Inaitwa PSYCHIC
Mtaalamu wa akili ni mtu anayedai kutumia utambuzi wa ziada (ESP) kutambua taarifa iliyofichwa kutoka kwa hisi za kawaida, hasa zinazohusisha telepathy au clairvoyance, au ambaye anafanya vitendo ambavyo havielezeki na sheria za asili, kama vile psychokinesis au teleportation.
 
Mawasiliano yao ni Whatsapp na Telegram tu! No video call, no voice call no sms charts!.....


Kwenye WhatsApp wanatumia njia ipi??
Huwezi track mawasiliano ya telegraph au whatsapp! Hata kama watafanya video call au sms za whatsapp na Telegram huwezi wapata!

Ndo nilikia namanisha hicho

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom