Nimesoma mahala, hii wanasema Boss wake alimwambia aandike cheque ya 1B.
Halafu aseme ilikosewa, ili hizo hela zisionekane bank. Inaonekana martha hakutaka kulitekeleza...
Wakati naendelea kusoma comments,...Ili niifikia mwisho nami nichangie...
Mara nakutana na hii post Yako.
Ni kama kile kile nilichotaka kupost...kwa hisia zangu tu....nilihisi hivyo.
Vifo vingi vinavyohusisha wafanyakazi wa taasisi nyingi nyeti za kifedha...huwa ni mambo haya haya ya ngawira...
Is either you join them!....or---- the choice is yours.
Ni either usaini kuhalalisha WIZI...ama uache kazi kwa shinikizo.
But wanakutadharisha kabisa.
Ukikataa, kuhusika,.... hautakuwa salama... Endapo siri ikavuja coz ulikataa .... Moja kwa Moja watajua kuwa wewe!.
Na watajua namna gani wanashughulika na wewe.
So the best option for her....was to join them!
Iwe kwa kupenda ama kwa lazima...kwa usalama wake..
R.I.P