Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Optography, or the idea that the eyes were able to record the last image that a person saw before death, was a widespread and popular “science” in the late 19th and early 20th centuries, albeit it has been debunked as a forensic method.
Sio Kwa Tanzania
 
Optography, or the idea that the eyes were able to record the last image that a person saw before death, was a widespread and popular “science” in the late 19th and early 20th centuries, albeit it has been debunked as a forensic method.
Wauwaji sio wapuuzi wasifunike nyuso zao
 
Aiseee pori la mitamba /ranchi ni hatari halafu ni tengefu ni bora serikali walikate viwanja vya makazi,niliwahi kupita hapo nikitokea kibaha kwenda Baobab ,ni hatarishi endapo ukipata breakdown.

Hivi Macho yanarecord taswira za watu? Wazee wa forensic tupeni maujuzi hapa ,kama ndiyo kuretriev data za kwenye macho wanatumia technoljia gani?

Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.

Kwenye traces za Finger Prints ,Macho,Simu sitaki kwenda sana maana ni issue za kipelelezi na sitaki kuweka wazi mbinu maana tutawapa kazi nzito polisi katika kufatilia issue za kipelelezi.
Mzee wake alisema hao ni proffesional killers means watakuwa wanafanya kila kitu kutoacha alama na ndiyo maana hata kanisani hawakuonekana japo kulikuwa na CCTV ,aliyeeonekana ni Martha tu ,kwahiyo walijua kabisa kanisani kuna CCTV hivyo walikaa nje.





Upo sawa Tajiri
 
Huyo aliyepiga simu ya mwisho kumwambia atoke nje ya kanisa ndo amechomesha.. katika ulimwengu wa sasa hakuna kitu rahisi kumshikisha mtu kama simu. Professional wangempiga bomba tu wapite hivi..
Na ndio atamtaja informer aliyekuwa kanisani
 
Mzee wake alisema kwamba Martha aliacha kazi kama siku chache zilizopita na kuanza kufanya shughuli zake ,waanzie pia kazini kwake huenda alipiga mshindo akawarusha wenzake na inaoenekana alikuwa mtu wa madili mengi maana mzee wake anasema alikuwa na mali.

Kama alivyosema mshana ,case hii ni very simple kwa wapelelezi maana ina alama nyingi sana za kufatilia wahusika wa mauaji.
Mzee Ushakutana na Professional Killers Tanzania hiii polisi hawatoboi
 
Hivi unajua mkimchukua binadamu mzima, mmoja akashika mabegani na mwingine akashika miguuni mkimchekecha tu kama chekecheo mara 45 hamalizi siku saba anakufa akiwa amelala?
 
Chonde conde hawa waliofanya kitendo hiki kama watapatikana basi wasifunguliwe mashtaka yeyote Bali watajane wote mwanzo Hadi mwisho alafu na wao wapigwe kibiriti mbele ya camera .

Tusilee ujinga kama huu kwa kuwafunga kifungo Cha maisha.

Wanatakiwa kufa kama wao walivyo ua
Umeandika matope Kila binadamu ana haki ya kuishi hapa sio saudia au Iran
 
Chonde conde hawa waliofanya kitendo hiki kama watapatikana basi wasifunguliwe mashtaka yeyote Bali watajane wote mwanzo Hadi mwisho alafu na wao wapigwe kibiriti mbele ya camera .

Tusilee ujinga kama huu kwa kuwafunga kifungo Cha maisha.

Wanatakiwa kufa kama wao walivyo ua
Umeandika matope Kila binadamu ana haki ya kuishi hapa sio saudia au Iran
 
Then ni simple sana, marehemu alikuwa shinyanga inamaana pia maadui na marafiki wengi walikuwa wa shinyanga. Walimchoma moto kwa nia ya kuficha ushaidi hivyo ni wazi kwa jeshi letu hili la polisi lilivyo imara katika kesi za upelelezi nakuhakikishia Mshana Jr watakamatwa nina imani sana na jeshi letu la polisi pamoja na mapungufu yao ila wako smart. Muda ni mwalimu mzuri.
Sahau
 
Back
Top Bottom