Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Tatizo TCRA na Cyber Crime department wanaweka watu kiundugu undugu ambao wengi ni weupe kwenye IT/Tech ,ilitakiwa waweke watu KONKI ,kwenye ulimwengu huu wa tech kama kukiwa na watu wazuri kwenye hivyo vitengo ni dakika 0 tu wahusika waliomuua martha wanapatikana.
Mzee hawa wa tuma ela wamesumbua miaka nenda Rudi na hawashikwi

Kwa Tanzania hiiii na Dunia hiii watu ni weupe sana

Fikiria kigogo alivyosumbua na mpaka Leo Amna mwenye clues yeyote
 
Mimi wasiwasi wangu, huenda hata hawakuwa kweli wafanyakazi wenzake. Ni hiyo miuaji ikajifanya ni wao. Labda wanajua majina ama wamepewa. Siku ya kufa aah asingetoka Kanisani, mpaka mwisho aondoke na familia.
Labda aliambiwa kuna barua yako hapa tumetoka nayo kazini toka nje tukupe tusepe.. Msimlaumu tu kwa kutoka kanisani, maana hata toka yake ilikuwa ya kurudi ndio maana aliacha vitu vyake.
 
Hao wanaodakwa je, sembuse tukio lenye trace za kutosha kama hili
kigogo alishawahi daka hata clues

Jeshi

Usalama
Polisi
Uhamiaji wote weupe

Na Kwa taarifa zako nilishawahi kunywa pombe na mtu na nikaona Nikati ya kigogo maana alilewa akashika simu vibaya

Ila huwezi amini ni kati ya watu Serikali iliwapa mafunzo nnje na mpaka Leo yupo
 
Sikuhizi watu hawapigi tena simu za kawaida kama wanaplot jambo lao, iwe rushwa, kuiba au kuua. Wanatumia WhatsApp Call na huko kupata sauti sijui mpaka uende huko LA, CA labda...
Nani anawapotosha watu kwamba wasap ni salama zaidi hata huko Makao makuu ya wasap wanatoa ushirikiano nchi ikiitaka taarifa za uhalifu. Na wasap hawawezi kataa wakikataa wanakula block hata sheria za kimataifa zinawabana.
 
Jipe moyo mnauproffesional gani SAsa labda wa kudanganywa na waganga.
Labda tu waamue kupotezea tu.
Unajua hiii
Screenshot_20230313-160008.jpg
 
Wakati naendelea kusoma comments,...Ili niifikia mwisho nami nichangie...

Mara nakutana na hii post Yako....

Ni kama kile kile nilichotaka kupost...kwa hisia zangu tu....nilihisi hivyo...

Vifo vingi vinavyohusisha wafanyakazi wa taasisi nyingi nyeti za kifedha...huwa ni mambo haya haya ya ngawira...

Is either you join them!....or---- the choice is yours...
Ni either usaini kuhalalisha WIZI...ama uache kazi kwa shinikizo...

But wanakutadharisha kabisa...

Ukikataa, kuhusika,.... hautakuwa salama... Endapo siri ikavuja coz ulikataa .... Moja kwa Moja watajua kuwa wewe!..

Na watajua namna gani wanashughulika na wewe....

So the best option for her....was to join them!

Iwe kwa kupenda ama kwa lazima...kwa usalama wake..

R.I.P
Nina swali dogo tu,hivi inaingia akilini kweli Ofisa mikopo aambiwe kusign cheque ya 1 bn? Ni Bank ipi kwa sasa inaruhusu miamala ya zaidi ya 10M kwa cheque? Au alileyeleta hii scenario alimaananisha Ofisa Mikopo huyu (Marehemu) alilazimishwa ku endorse transfer ya 1bn.

Watu wa Bank wanaweza kutusaidia hapa,mipaka ya kazi za ofisa wa Mikopo inaruhusu mpaka maswala ya kusign cheque/ endorse transfer au yeye anaishia tu kwa Paper works za process nzima ya mikopo?
 
Nani anawapotosha watu kwamba wasap ni salama zaidi hata huko Makao makuu ya wasap wanatoa ushirikiano nchi ikiitaka taarifa za uhalifu. Na wasap hawawezi kataa wakikataa wanakula block hata sheria za kimataifa zinawabana.
Hakuna aliyesema hawatoi, ila kutrace call za whatsapp litakua jambo la mwisho. Wataanza na hizihizi call za kawaida.
 
Back
Top Bottom