Loose ends Kifo cha Martha Towo

Loose ends Kifo cha Martha Towo

Kiintelenjensia.
Hakuna muhalifu yeyeto Smart ni lazima ataacha tu alama pa kuanzia.
Watu wakiingia mitamboni mbona sekunde tu wauaji udakwa chapu.
Hapo pa kuanzia ni sehemu mbili tu ishu ya mapenzi au kazini. Tap call zake zote kuanzia siku ya tukio rudi nyuma hata miezi 3 ukizisikiliza zitakupa starting point na lazima utampata tu muuaji.
Ipo hivi
Kabla ya mauaji huwa ni lazima mawasiliano ya simu uwepo yakiwa na nia ya urafiki na sio hitimisho la mauaji, mauaji huja baada ya kushindwa kufikiana kwa muafaka.
Kosa kubwa la wauaji ushindwa kutambua back walitumia simu kuongea.
KWA hili unaweza tumia
1.Technologia ya mawasiliano kupitia call recording
2.White magic pia ukupa picha ya tukio zima.
Ukimsikiliza baba yake anaongea codes ni kama kuna kitu anakihisia ambacho kina uelekeo wa ukweli sababu alikuwa karibu na binti yake kuna mambo alishea nae thus hakutaka kufunguka sana.
Kifupi hakuna muhalifu smart popote duniani hata awe na akili au ujanja vipi ni lazima ataacha shaka.
Technology na white magic haziongopi. Labda tu wahanga waamue tu kumuachia Mungu , KARMA
Watu wakiingia mitamboni mbona sekunde tu wauaji udakwa chapu.



Sahau Kwa Tanzania hiii
 
One of the major changes that occur in the body after death is corneal clouding which starts approximately after 2 hours from death

Also after death, blood cells in the body breaks down and releases potassium at a slower and more predictable rate, is also unaffected by temperature in the eye.(2) Thus, examining the potassium level in the vitreous humour can also help to calculate an approximate time of death of the person but not the killer refer to corneal clouding I spoke off

Tears also can be used to identify a person especially kwenye DNA profiling
time of death of the person but not the killer

Sahau Kwa Tanzania hiii
 
Naamini matokeo baada ya deep investigation, hizo rumors hua ni kawaida kwenye matukio yoyote, kwanza kama unavosema alitakiwa kusain hundi ya 1B ndio lakini yeye alikua afisa mikopo tu muidhinishaji wa pesa ni muhasibu mkuu, na bado alikua hajasaini hivo bado hayo ni maneno tu, tuvipe nafasi vyombo vya uchunguzi vitaweza kueleza ukweli wote, japo kwenye kufetch information even rumor inasaidia kwa kuplay kama primary source of information
yeye alikua afisa mikopo tu muidhinishaji wa pesa ni muhasibu mkuu,


Watu hawajui Wana ushamba flani hivyi
 
Huyo aliyepiga simu ya mwisho kumwambia atoke nje ya kanisa ndo amechomesha.. katika ulimwengu wa sasa hakuna kitu rahisi kumshikisha mtu kama simu. Professional wangempiga bomba tu wapite hivi..
Mijamaa ziro kabisa yan haijui madhara ya simu ha ha ha had dakika hii watu washanza kubinywa pumbu huko....

Ilitakiwa aviziwe aviziwe had aingie king bila kuitwa poor plan..
 
Hawa wanaonunua simu mpya kariakoo, wanasajili na line mpya za voda wanajua hawatofahamika! Wanasahau kuna operation ya simu feki ilipita nchi nzima, wanasahau kwenda congo au msumbiji kununua simu ambazo imei zake haziwezi kua traced halafu waende congo au Rwanda kusajili line za tigo au airtel ili mawasiliano kwanza kutafutwa mtu asumbuke, wahalifu wa nchi maskini huacha alama kizembe sana ndio maana hukamatwa kama kuku
Kina nani wamekamatwa



Waliomteka mo


Waliomuua naniii.....?
 
Wahalifu wa Tanzania ni mbumbumbu, kabisa lazima wadakwe kiwepesi tu
Issue za kihalifu polisi hutumia simu..
Unakuta wahalifu wanapanga mipango hii kwa kutumia simu...

Kuna mwizi wa bodaboda alidakwa mwaka jana.... Akapokea kipigo... Polisi wakawahi ili asife.. Kufika kituoni wakachukua simu yake..
Wakakuta mawasiliano.. Na wenzake kwamba wajitahidi wiki hiyo wapate pikipiki hata 20 zinahitajika Mtwara..

Polisi wakascan number zote.. Walidakwa watu zaidi ya 18 wezi wa pikipiki na ushahidi ni mawasilianao ya simu
 
Ukiwa Sudan khatoum na Rwanda kudivert call hauwezi kabisa, ukiwa bongo unaweza kudivert kwa njia nyingi, ningeweza kukufafanulia jambo juu ya hilo lakini ngoja niache kwanza
ukiwa bongo unaweza kudivert kwa njia nyingi, ningeweza kukufafanulia jambo juu ya hilo lakini ngoja niache kwanza




Tupe nondo
 
Still utadakwa tu labda ufanye hivi vi ishu mbuzi mfano tuma KWA namba hii. Ufanye ishu ya kitaifa utadakwa tu.
Hakuna muhalifu smart ndugu ni lazima aache tu trace. Hasa kwa uhalifu kama huu wa kushirikisha wengi.
Watu wanapiga na hawakamatwi wejamaa ni mshambamshamba
 
Back
Top Bottom