Londonistan haiepukiki

Londonistan haiepukiki

Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

Ninakwambia njia ya pekee ya kuingia mbinguni ni "YESU KRISTO" dini yoyote haiwezi kukupeleka mbinguni au kuona pepo.
Imeandikwa "Wafilipi 2:10
ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
Wafilipi 2:11
na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba. "

Na ninakwambia mtu yoyote yule aliyekufa bila kuokoka au kumpokea na kumkiri "YESU NI BWANA" huyo yupo kuzimu hata kama kwenye jamii alionekana mtakatifu.

Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

USIJE UKASEMA HUKUAMBIWA, HII COMMENT ITASIMAMA NA WEWE HUKUMUNI
 
8a714f03e8fc33de8de3df4abb6f6cf1.jpg

Ayatolah anaulilia Umea wa London?! Au anayalilia Magaidi yake yaliyoteketezwa?! Au anazifikiria Bunker Busters
 
Hongera zao ila sio jambo la ajabu sana ni vile waislam nanyi mshakua watu wa propaganda hata zisizo na maana kama watu wa magharibi

Na ubaya hizi propaganda ndizo zinahubiriwa misikitini na kwenye mihadhara. Juzijuzi hapa umeleta uzi wa Cristiano Ronaldo kuslim, picha zenyewe ni za AI, hizo propaganda zinakuzwa kumbe ni uongo mtupu.

Dini ikikua wala hutahitaji jf, itajisemea tu yenyewe, mabadiliko hayajifichi.
 
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

Waache wawafuge waanze kulipua na kujitoa mhanga,watu wafe

Watajuta
 
Moors-in-Spain.jpg

Wavamizi wa Kiarabu wakivamia Spain kwamba wametumwa na Allah sasa hivi hawatumii upanga na Majambiya tena bali wanatumia njia ya Uhamiaji haramu.

Wakati huo huo nyingi ya Nchi zao haziruhusu Uhamiaji haramu wala kuruhusu Watu wa Dini nyingine kujenga Nyumba za Ibada.
 
Tatizo ni kwamba ongezeko linatokana na uhamiaji kutoka Uarabuni na kuzaliana na sio raia asili wa Uingereza kubadilisha dini,
Hii itazua matatizo makubwa mbeleni.
Vumilieni tu uislam ndio unasambaa hivyo
 
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

JUzi hapa kulitokea xenophobic attack kwa raia wahamiani hasa waislamu , but serikali ikaww upande wa wahamiaji na bii trend nadhani ni imetapakaa nchi nyingi sana za ulaya Alhamdulillah, yaliyotabiriwa yanatimia ila nina furaha na majonzi pia .
 
Back
Top Bottom