Londonistan haiepukiki

Londonistan haiepukiki

MAKOBAZI yote ni MOTONI.
Hapo vipi?:

1729504816549.png
 
Wanakimbia kwao wanaenda kuharibu nchi za wengine
Uislamu umekuwa baraka na tishio kwa Ulaya, na jukumu lake katika Ulaya ni gumu:


  • Ushawishi wa kitamaduni
    Uislam umejenga utamaduni wa Ulaya kwa njia nyingi, ikiwa ni pamoja na usanifu, sanaa, na kilimo. Kwa mfano, sinagogi la Türkischer Tempel huko Vienna liliathiriwa na usanifu wa Kiislamu.
 
Mchungaji Mtikila aliwahi kununua Msikiti pale Ilala

Ni kawaida Sana Hakunaga ajabu yoyote

Kila mwislamu aliyefanikiwa ameshikwa mkono na Mgalatia kama unabisha angalia Viongozi wote wa Kiislam hapa Bongo ama wameoa au kuolewa na Wakristo 😄😄 tukianzia na Prof Lipumba wa Mujahideen 😀
Hahaha, ikawaje?

Naufahamu sana msikiti huo, nyumba ilikuwa ya Bi Aziza, wakrosyto wakavamia, wakajidi kuununuwa kwa matapeli. Bado ni msikiti mpaka leo.

Tena umenikumbusha kuna misikiti yetu Wajerumani waliigeuza makanisa hapo jijini Dar. Ni wakati muafaka irudishewe, sijuwi haya ma bwakwata yanafanya nni?
 
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

Wangejua huo upumbavu wanao Fanya wa kuruhusu Alakbaru huko aisee watajuta sana mwshon ,watakapokua kama somalia ,Sudan ,Iraq, wavaa kobasi watakapokua wanajilipua hadharan ,laiti mijii hii wangekua itabak ukiwa kina walau Akbaru watakapo Anza kujitoa muhanga
 
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

Yote ni kwa kuwa wazungu ni watu wema na wenye Roho safi sana
Waliwakaribisha magaidi bila kujali mapito yao wakawapa makazi na huduma na ndiyo maana leo hii magaidi wanajinafasi

ila Sasa piga ishara ya msalaba Kuwait au Oman ndo utajua hujui
 
Hii ndio itafanya Trump achaguliwe tena Marekani,
Uhamiaji holela,
Kuna Nchi uhamiaji unawasumbua kama Sweden huko ambao wame chukua wahamiaji holela ambao contribution kwa taifa ni ndogo ila London ama Uingereza kwa Ujumla bila waarabu/Wahindi wangeshapoteza relevance kwenye hii dunia. Leo hii toka wamejitoa EU ni Nchi za kiarabu ndio zina maintain huo uchumi.

London nickname yake ni 8th Emirate, kuna Mamia ya Bilioni investments za Gulf kuanzia Real estate, Energy, Bandari na sekta kibao.
 
Kuna Nchi uhamiaji unawasumbua kama Sweden huko ambao wame chukua wahamiaji holela ambao contribution kwa taifa ni ndogo ila London ama Uingereza kwa Ujumla bila waarabu/Wahindi wangeshapoteza relevance kwenye hii dunia. Leo hii toka wamejitoa EU ni Nchi za kiarabu ndio zina maintain huo uchumi.

London nickname yake ni 8th Emirate, kuna Mamia ya Bilioni investments za Gulf kuanzia Real estate, Energy, Bandari na sekta kibao.
London ni financial centre of the world tangu karne ya 18, kila tajiri duniani anataka kupeleka pesa zake London, kuanzia Warusi, Wachina, Waarabu hadi mafisadi wa Africa
 
Hapa kinachozungumziwa sio uarabu/waarabu, tunazungumzia uislam/waislam. Jaribu kufikiria unawafurusha vipi waislam ambao ni waingereza ?
WaIberia walisilimishwa na Majeshi ya Kiarabu kwa nguvu lakini Uisilamu ulikuja kutolewa na Waarabukufurushwa na kukimbila Moroco.
 
Uislamu umebuniws miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, yote yalitabiriwa, ujio wa mpinga Kristo, sikutegemea itendeke kwenye kizazi hiki.
Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ndiye ataokoka, maana shetani sasa hivi anatumia nguvu nyingi sana kutumia mawakala wake wote.
Je sifa za mpinga Kristo anazo nani? According to Biblia?

Daniel 11:37-38

37 Neither shall he regard the God of his fathers, nor the desire of women, nor regard any god: for he shall magnify himself above all. 38 But in his estate shall he honour the God of forces: and a god whom his fathers knew not shall he honour with gold, and silver, and with precious stones, and pleasant things.
Hio ni sifa ya waisilamu?
 
Back
Top Bottom