chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,561
- 28,445
Kanisa la Uingereza hapo Manchester limeana kuadhini badala ya kengele:
View: https://youtube.com/shorts/os6u_GOcWrc?si=jhwZ10eXDFwcZyOT
Wewe Bibi mbona unatumia nguvu kubwa sana kuutetea Uislam.
Kanisa la Uingereza hapo Manchester limeana kuadhini badala ya kengele:
View: https://youtube.com/shorts/os6u_GOcWrc?si=jhwZ10eXDFwcZyOT
Kuutetea? Unaelewa maana ya kutetea lakini?Wewe Bibi mbona unatumia nguvu kubwa sana kuutetea Uislam.
Sio kwamba Uislamu unakua huko Europe ukweli ni kwamba Wahamiaji ndio wanazaliana.Wazungu washaachana na mungu-mwana-mtu aliyetoa/jitoa kukomboa binadam na dhambi ya asili ambayo hawakufa
Waca porojo, msikilize Mwingereza msomi huyu anasema Yeu hakuwahi kuhubiri ukristo:Sio kwamba Uislamu unakua huko Europe ukweli ni kwamba Wahamiaji ndio wanazaliana.
Mzungu keshaachana na mambo ya Religion wengi ni Atheists lakini hawawezi kukubaliana na Islamic Dectatorship.
Mzungu anaujua huo Uislamu kuliko ninyi mliokaririshwa huko Madrasa.
Europe kuna Maelfu ya Universities wakati nini mna mamilioni ya Madrasas hamtawaweza hata suku moja.
Waca porojo, msikilize Mwingereza msomi huyu anasema Yeu hakuwahi kuhubiri ukristo:
View: https://youtu.be/qvBNViZG0Mk?si=BVDmrrDWABumKOU9
Uislamu uliondolewa Spain na Portugal mpaka wa leo zimebaki story tu.Watafukuza wageni, hawatoweza kuufukuza Uislam:
Uislamu uliondolewa Spain na Portugal mpaka wa leo zimebaki story tu.
Ndiyo nikakwambia utawafukuza Eaislam lakini siyo Uislam.
Mbona mauwaji hayo ya wazungu yalifanywa hata hapa kwetu? Unajuwa vita ya majimaji kwani ikaitwa hivyo? Unajuwa kuwa Mkwawa jina lake la kwanza ni Abdallah?
Haya, sasa sema hii ni wapi:
View: https://youtu.be/VxvBQ6gaVrA?si=U84pttD17UNsk0og
Hao watu wa London wanaachia nyani shamba Kuna siku watavuna mabua.
Na kambale watam sanaKweli ni kama maji ya bwawa la mavi ambalo hutunza kambale
Sikukuulia hao ni nani, nimekuuliza hiyo ni wapi? Ongezea hii:Hao ni wahamiaji haramu.
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.
Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?
London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.
Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.
Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:
View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi
Uislamu umekuwa baraka na tishio kwa Ulaya, na jukumu lake katika Ulaya ni gumu:
- Ushawishi wa kitamaduni
Uislam umejenga utamaduni wa Ulaya kwa njia nyingi, ikiwa ni pamoja na usanifu, sanaa, na kilimo. Kwa mfano, sinagogi la Türkischer Tempel huko Vienna liliathiriwa na usanifu wa Kiislamu.
Hao ni Wahamiaji haramu walioenda na Dini yao lakini Waarabu Waisilamu walivamia Spain na Portugal na walitolewa wote.Sikukuulia hao ni nani, nimekuuliza hiyo ni wapi? Ongezea hii:
Uislam ni TOOL ya kusambaza Utamaduni wa Mwarabu.mara uislam ni dini, mara imani thabiti