Londonistan haiepukiki

Londonistan haiepukiki

Unataka niwe pagani mkosa maadili? Nini kinyume cha udini? Upagani au siyo?
Maadili gani nyie zaidi ya udini tuu, wengi wa hao wa London ni criminals and uneducated, elimu ya ahera na kuzaliana kama kuku haina mwisho mzuri
 
Nenda kapitie mawaidha ya sheikh Ilunga ambaye alipigana sana na mfumo kristo kipindi cha JK

🤣😂🤣 uongo na vitu vipo Youtube? Na CD zipo?
Hayo mawaidha yamejaa propaganda tu
 
Uislam ni mwema sana,
lashkar.jpg
terrorists-1458052170.jpg
Tehreek-Taliban-Pakistan.jpg
Masood-Azhar-696x392.png
e2c8322d-7501-493d-b416-78412f32bc48-large1x1_AP22213791138458.jpg
 
Hayo mawaidha yamejaa propaganda tu
Hizo propaganda unatakiwa kuzipinga kwa hoja! Mwenzio anashusha ushuhuda wa maandiko na rejea wewe unakuja na porojo za propaganda

Shusha nondo kuwa hiki na hiki, wahusika waliotajwa sijui padre nani na nani hawapo dunia hii

Sijui kasisi nani wa vaticani hakuandika hicho kitabu na hakuwa wa mwanzo kuandika biography ya sheikh Ghazal nk

Wewe unakuja kusema propaganda bila details za kutosha?

WaislaM mkoa wa mwanza wanajivunia sheikh ilunga kwa maana kupitia ujasili wake wamepata vingi kutoka katika serikali yao! Kama maeneo yao nk....

Wewe unasema mawaidha ni propaganda??
 
Hizo propaganda unatakiwa kuzipinga kwa hoja! Mwenzio anashusha ushuhuda wa maandiko na rejea wewe unakuja na porojo za propaganda

Shusha nondo kuwa hiki na hiki, wahusika waliotajwa sijui padre nani na nani hawapo dunia hii

Sijui kasisi nani wa vaticani hakuandika hicho kitabu na hakuwa wa mwanzo kuandika biography ya sheikh Ghazal nk

Wewe unakuja kusema propaganda bila details za kutosha?

WaislaM mkoa wa mwanza wanajivunia sheikh ilunga kwa maana kupitia ujasili wake wamepata vingi kutoka katika serikali yao! Kama maeneo yao nk....

Wewe unasema mawaidha ni propaganda??
Hao hawana hoja zaidi ya vihoja umemwambia atoe hoja usishangae akaanza kukutukana
 
Hizo propaganda unatakiwa kuzipinga kwa hoja! Mwenzio anashusha ushuhuda wa maandiko na rejea wewe unakuja na porojo za propaganda

Shusha nondo kuwa hiki na hiki, wahusika waliotajwa sijui padre nani na nani hawapo dunia hii

Sijui kasisi nani wa vaticani hakuandika hicho kitabu na hakuwa wa mwanzo kuandika biography ya sheikh Ghazal nk

Wewe unakuja kusema propaganda bila details za kutosha?

WaislaM mkoa wa mwanza wanajivunia sheikh ilunga kwa maana kupitia ujasili wake wamepata vingi kutoka katika serikali yao! Kama maeneo yao nk....

Wewe unasema mawaidha ni propaganda??
Propaganda tu zile, hamna hoja ya kujibiwa hapo.

Tz kuna mfumo-Ccm tu, hakuna mfumo mwingine zaidi ya huo.
 
Kamsikilize Marehemu Sheikh Ilunga utaelewa kidogo jinsi Ukristo ulivyopenya katika uislam

Kwa ushahidi wa maandiko na kamusi za dini ya kiislam ambazo zimeandaliwa na Mapadre😂😂😂

Pia Middle East vyuo vikuu vingi vya kiislama vinafundishwa na Waisrael na wamarekani wakijifanya waislam huku wakiharibu mambo mengi katika uislam😂🤣
Kuuharibu uislam nisuala lisilo wezekana mzee ili uuharibu uislamu uanze kwanza kuiharibu Quran nanijambo ambalo halijawezekana miaka zaidi ya 1600 sasa
 
Fikiria, jiji ambalo mwangwi, wa karne kadhaa zilizopita, wa kengele za kanisa unatoweka na badala yake sauti ya Adhana inapanda na kuchukuwa mahali pake.

Katika jiji la kusifika la London mabadiliko hayo yansikika na kujionesha wazi, zaidi na zaidikila kukicha.
Je, hii inamaanisha jiji la London, Uingereza, kinaandika hadithi ya historia mpya?

London ni jiji ambalo misikiti inaamka na makanisa yanaachwa nyuma na kuzidi kulala usingizi wa kifo.

Takwimu zote zinaonesha Waislamu wanaongezeka na Uislam unazidi kukuwa kwa haraka, si London pekee, bali Ulaya yote.Katikati ya misikiti hii ya London, mabadiliko makubwa yanajionesha dhahiri shahiri. Wimbi kubwa la Mafuriko katika miji ya Uingereza,hasa
jiji la London, uwepo wa Uislam kwa sasa haujifichi tena.

Tukumbuke kuwa jiji la London ni nyumbani na makao makuu ya kanisa mojawapo kuu la Kikristo la Kianglikana. Jionee, London minavyojigeuza na kuwa Londonistan:



View: https://youtu.be/ArXyugJvSsc?si=Hv_HMJe4bTDquLdi

Waislam wanaotoka kwenye vita kama wakimbiz wanahamia ulaya that means huko kwao wanapungua tatizo lao ustaarabu mdogo wenyeji wamewachoka na nchi nyingine zishapiga ban waislam kuingia kwao ma radicals yamewaponza wenzao wenye misimamo yakiungwana
 
Kwahiyo kama ushoga unavyoongezeka kila kukicha tuseme ni halali nao kwakua unakua kwa kasi?
 
Majonzi ya nini mkuu
Kuna hii hadith hapa

KInachonipa furaha ni hadith hii hapa

1.
الْأَمْرُ مَا بَلَغَ اللَّيْلُ وَالنَّهَارُ وَلَا يَتْرُكُ اللَّهُ بَيْتَ مَدَرٍ وَلَا وَبَرٍ إِلَّا أَدْخَلَهُ اللَّهُ هَذَا الدِّينَ بِعِزِّ عَزِيزٍ أَوْ بِذُلِّ ذَلِيلٍ عِزًّا يُعِزُّ اللَّهُ بِهِ الْإِسْلَامَ وَذُلًّا يُذِلُّ اللَّهُ بِهِ الْكُفْرَ

16957 مسند أحمد بن حنبل

Tafsir

Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Na kinachonipa majonzi ni hadithi hii hapa
2.
"حَدَّثَنَا عَبْدُ الرَّحْمَنِ بْنُ إِبْرَاهِيمَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا بِشْرُ بْنُ بَكْرٍ، حَدَّثَنَا ابْنُ جَابِرٍ، حَدَّثَنِي أَبُو عَبْدِ السَّلاَمِ، عَنْ ثَوْبَانَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ يُوشِكُ الأُمَمُ أَنْ تَدَاعَى عَلَيْكُمْ كَمَا تَدَاعَى الأَكَلَةُ إِلَى قَصْعَتِهَا ‏"‏ ‏.‏ فَقَالَ قَائِلٌ وَمِنْ قِلَّةٍ نَحْنُ يَوْمَئِذٍ قَالَ ‏"‏ بَلْ أَنْتُمْ يَوْمَئِذٍ كَثِيرٌ وَلَكِنَّكُمْ غُثَاءٌ كَغُثَاءِ السَّيْلِ وَلَيَنْزِعَنَّ اللَّهُ مِنْ صُدُورِ عَدُوِّكُمُ الْمَهَابَةَ مِنْكُمْ وَلَيَقْذِفَنَّ اللَّهُ فِي قُلُوبِكُمُ الْوَهَنَ ‏"‏ ‏.‏ فَقَالَ قَائِلٌ يَا رَسُولَ اللَّهِ وَمَا الْوَهَنُ قَالَ ‏"‏ حُبُّ الدُّنْيَا وَكَرَاهِيَةُ الْمَوْتِ ‏"‏ ‏.‏"

Tafsir

Narrated Thawban:
The Prophet (ﷺ) said: The people will soon summon one another to attack you as people when eating invite others to share their dish. Someone asked: Will that be because of our small numbers at that time? He replied: No, you will be numerous at that time: but you will be scum and rubbish like that carried down by a torrent, and Allah will take fear of you from the breasts of your enemy and last enervation into your hearts. Someone asked: What is wahn (enervation). Messenger of Allah (ﷺ): He replied: Love of the world and dislike of death.

Sahih (Al-Albani)

Sunan Abi Dawud, 4297
In-Book Reference: Book 39, Hadith 7
English Reference: Book 38, Hadith 4284

Hadithi ya pili naona ndo kinachotokea now duniani kote
 
Kamsikilize Marehemu Sheikh Ilunga utaelewa kidogo jinsi Ukristo ulivyopenya katika uislam

Kwa ushahidi wa maandiko na kamusi za dini ya kiislam ambazo zimeandaliwa na Mapadre😂😂😂

Pia Middle East vyuo vikuu vingi vya kiislama vinafundishwa na Waisrael na wamarekani wakijifanya waislam huku wakiharibu mambo mengi katika uislam😂🤣
Unachanganya Waislam na Uislam.

Uislam hautofutoika wala kubadilika.
 
Haya yalishasemwa katika qur'an zaman kwamba hakika watu wataingia katika uislamu kwa wingi sana
Uislamu umebuniws miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, yote yalitabiriwa, ujio wa mpinga Kristo, sikutegemea itendeke kwenye kizazi hiki.
Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ndiye ataokoka, maana shetani sasa hivi anatumia nguvu nyingi sana kutumia mawakala wake wote.
Wewe hujui lolote ndugu yangu,hivi unajua kuwa uislamu ndio umeinua hadhi ya Yesu na mama yake?
 
Haya yalishasemwa katika qur'an zaman kwamba hakika watu wataingia katika uislamu kwa wingi sana

Wewe hujui lolote ndugu yangu,hivi unajua kuwa uislamu ndio umeinua hadhi ya Yesu na mama yake?
Allah ananiachaga hoi sana anaamini waislamu watakua na nguvu tu siku wakiwa wengi

Ni tofauti na Yahweh anaamini hata mkiwa wachache kama mnamwamini mtakua na nguvu hamuhitaji kuwa wengi
 
Back
Top Bottom