Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,861
- 147,218
Aisee Sasa huko mtwara kumechangamka Kwa lipi?? Hayo malori au?Huko ni mji uliopoa kwahiyo ni jambo la kawaida tu
Aisee Sasa huko mtwara kumechangamka Kwa lipi?? Hayo malori au?Huko ni mji uliopoa kwahiyo ni jambo la kawaida tu
Hapana usimpendelee kiasi hicho huyo bahati mbaya ni mtu wa songeaMawardat ,wewe ni mwenyeji wa huko??
mjini ni mpaka uambiwe kuwa hapa ndio songeaMjini au vijijini?? Umezaliwa na kukulia huko?? Au mlihamia??
Nilijua tu wewe bila kuikosoa songea!?Hapana usimpendelee kiasi hicho huyo bahati mbaya ni mtu wa songea
NalyanaHabari Wakuu,
Nategemea kuwepo Mtwara mjini kwa wiki mbili kikazi.
Naomba kujua lodge nzuri na safi hasa zenye internet kwa 30,000 - 40,000.
Asanteni.
Vip bei ni kubwa ama ndogo Mkuu ?Ni lodge pekee au na mengine, maana kwa hilo dau, na isitoshe upo kusini
Inafikirisha
mjimwema hapoSehemu gani mkuu, niko njian
wana songea wanaku zoom mwanangumjini ni mpaka uambiwe kuwa hapa ndio songea
Splash traveller wapo vizuri pale 30-50 kama sijakosea. Uchague mwenyewe utakaa chini au utapanda ghorofani 😁😁Splash traveller inn ? Hawa wapo vip nimewaona insta ?
Splash traveller wapo vizuri pale 30-50 kama sijakosea. Uchague mwenyewe utakaa chini au utapanda ghorofa niSplash traveller inn ? Hawa wapo vip nimewaona insta ?
Naff blue pa kawaida sana na bei ni kama 25 hivi last time nimeenda huko.Mtwara nimeisahau kabisa,hivi ile naff blue Bado IPO katika ubora wake bado?
Ile club inaitwa Triple V, nyingine sifahamu jina ingawa napita kila wikiendi kuelekea La Ville.Kuna moja inaitwa fijo,imejitenga kidogo ipo barabara ya kupita mtaa unaitwa coco beach pamechanganka kidogo wanauza matunda + fast food na pembeni kuna viwanja kama viwili hivi sema nimesahau majina.
Yes hiyohiyo nlikuwa nakumbuka V tu lingine sikumbuki 😁😁Ile club inaitwa Triple V, nyingine sifahamu jina ingawa napita kila wikiendi kuelekea La Ville.
Tiffany ni hotel na bei zimesimama.Ukishuka stand waambie Wakupeleke Tiffan
Enzi za Artimus ndio ilikuwa ya wenye nazo hiyoSplash traveller wapo vizuri pale 30-50 kama sijakosea. Uchague mwenyewe utakaa chini au utapanda ghorofa ni
Naff blue pa kawaida sana na bei ni kama 25 hivi last time nimeenda huko.