Lodge kali Songea Mjini

Lodge kali Songea Mjini

Kunae m1 ni mtu wa chuga, nilim note, na ni best angu pia.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Aende Ile Club La Chalz Chini Pale Krista Ataona Yaliyomo

Mwezi September nitakuwepo kama 2weeks nitatembelea kote bahati mbaya mimi si mtumiaji wa vilevi siwezi kukaa muda mrefu sehem za vilevi.
 
Mwezi September nitakuwepo kama 2weeks nitatembelea kote bahati mbaya mimi si mtumiaji wa vilevi siwezi kukaa muda mrefu sehem za vilevi.
Maeneo Ya Kutembea Yapo Mkuu
Bombambili , Mfalanyaki, Aliponyongwa Songea Mbano
Utaosha Macho Sana Sana
 
Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park

Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.

AM iko Msamala miembeni

Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.

Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Inaonekana lodge zote za hapo Songea mjini unazifahamu eti!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Afu huwezi amini, hakuna hata 1 niliyowahi gusa hata mlango wa Reception..

Naziona tyuuh nikiwa napita karibu na maeneo hayo. Lol
Sema kweli!!
 
Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park

Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.

AM iko Msamala miembeni

Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.

Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Ahsante mkuu kwa ushirikiano mkubwa uliouonesha
 
Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park

Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.

AM iko Msamala miembeni

Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.

Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Dada watakuuliza umezijuaje?
 
Kumbe wenyeji mpo leo ndio nimeia SONGEA NIMELALA LODGE YA KIKUDA KWELI NAJUTA
 
Back
Top Bottom