kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,142
- 15,759
Alooo safi sana ! Huko nilifika 2020 kama mara 2 hiviYeaaah huku ndo Home town.
Wakunyumba nenee, 😂😂😂😂😂
Alooo safi sana ! Huko nilifika 2020 kama mara 2 hiviYeaaah huku ndo Home town.
Wakunyumba nenee, 😂😂😂😂😂
Lakini kuna vitu una miss kutoka Dar amvavyo Mikoani hakuna kwa mfano sehemu za kutembea tembea maana mikoani sehemu za kutembea ni umbali mchache yani mnakua kama mmefungiwa kwe uzio fulani.Hicho kitu nilisha kataa, siwezi maisha ya kuigiza.
Kwani Dar ni kitu gani? Nimekaa pale miaka 5, ilivyoisha nimeondoka zangu.
Yaan mtu utaabike. Uhangaike, udhalilike eti kisa kukaa Dar, wakati nyumbani kupo tena fresh kabisaa..
Aaah wee!! Niko home na life linasonga km kawaaa.
Natafuta sehemu ya kwenda kutembea december hii ila naona kama Songea ni mbali sana.Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park
Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.
AM iko Msamala miembeni
Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.
Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.