Lodge kali Songea Mjini

Lodge kali Songea Mjini

Hicho kitu nilisha kataa, siwezi maisha ya kuigiza.
Kwani Dar ni kitu gani? Nimekaa pale miaka 5, ilivyoisha nimeondoka zangu.

Yaan mtu utaabike. Uhangaike, udhalilike eti kisa kukaa Dar, wakati nyumbani kupo tena fresh kabisaa..
Aaah wee!! Niko home na life linasonga km kawaaa.
Lakini kuna vitu una miss kutoka Dar amvavyo Mikoani hakuna kwa mfano sehemu za kutembea tembea maana mikoani sehemu za kutembea ni umbali mchache yani mnakua kama mmefungiwa kwe uzio fulani.
 
Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park

Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.

AM iko Msamala miembeni

Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.

Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Natafuta sehemu ya kwenda kutembea december hii ila naona kama Songea ni mbali sana.

Usafiri kutoka Dar hadi huko ukoje? Gharama za malazi na chakula je?
 
Back
Top Bottom