kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,775
- 20,689
Alooo safi sana ! Huko nilifika 2020 kama mara 2 hiviYeaaah huku ndo Home town.
Wakunyumba nenee, 😂😂😂😂😂
Alooo safi sana ! Huko nilifika 2020 kama mara 2 hiviYeaaah huku ndo Home town.
Wakunyumba nenee, 😂😂😂😂😂
Lakini kuna vitu una miss kutoka Dar amvavyo Mikoani hakuna kwa mfano sehemu za kutembea tembea maana mikoani sehemu za kutembea ni umbali mchache yani mnakua kama mmefungiwa kwe uzio fulani.Hicho kitu nilisha kataa, siwezi maisha ya kuigiza.
Kwani Dar ni kitu gani? Nimekaa pale miaka 5, ilivyoisha nimeondoka zangu.
Yaan mtu utaabike. Uhangaike, udhalilike eti kisa kukaa Dar, wakati nyumbani kupo tena fresh kabisaa..
Aaah wee!! Niko home na life linasonga km kawaaa.
Natafuta sehemu ya kwenda kutembea december hii ila naona kama Songea ni mbali sana.Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park
Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.
AM iko Msamala miembeni
Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.
Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Soon nitakuwa kunyumba,De Paul ndo karibu na mtaa wa home. Nachezaga sana hapo. Msamala 1.
Karibu tenaa kunyumbaa.
Karibu sanaa.Soon nitakuwa kunyumba,
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbwa na paka hao wewe, mbuzi gani ajazwe vitunguu
Mie sio mtembeaji sasa, ko trips sio vitu vyangu kabisaa.Lakini kuna vitu una miss kutoka Dar amvavyo Mikoani hakuna kwa mfano sehemu za kutembea tembea maana mikoani sehemu za kutembea ni umbali mchache yani mnakua kama mmefungiwa kwe uzio fulani.
Dar hadi songea, via Iringa ni 75, via Lindi ni 85.Natafuta sehemu ya kwenda kutembea december hii ila naona kama Songea ni mbali sana.
Usafiri kutoka Dar hadi huko ukoje? Gharama za malazi na chakula je?
Ww wa songea nn 😂😂😂Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park
Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.
AM iko Msamala miembeni
Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.
Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Ena Wenga Nene na Mlongo, kuhuma Nyumbii bombiii.Ww wa songea nn [emoji23][emoji23][emoji23]
Bar za kula michemsho, nyama choma, kuangalia mpira zipo?Dar hadi songea, via Iringa ni 75, via Lindi ni 85.
Malazi na chakula bei ni affordable kabisaa.
Karibu sana Songea.
Zipo za michemsho, ila ni Kitchen na Restaurant,Bar za kula michemsho, nyama choma, kuangalia mpira zipo?
Bar za kula michemsho, nyama chomaDar hadi songea, via Iringa ni 75, via Lindi ni 85.
Malazi na chakula bei ni affordable kabisaa.
Karibu sana Songea.
Asante sana mkuu, ngoja nione likizo ipi itanifanya nifike huko.Zipo za michemsho, ila ni Kitchen na Restaurant,
Nyama Choma zipo sehemu zake tena kwa ustadi na ladha nzuri.
Sports Lounge Zipo za kutoshaa.
Karibu sana Songea.
Poa poaBar za kula michemsho, nyama choma
Asante sana mkuu, ngoja nione likizo ipi itanifanya nifike huko.