cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Bei hapana sifahamu.Weka na bei zake mkuu kama utakuwa unazifahamu,, hata ranging price
Bei hapana sifahamu.Weka na bei zake mkuu kama utakuwa unazifahamu,, hata ranging price
Yeaaah huku ndo Home town.Umeelezea deep sana, unaishi huko ? Usengwili wenga 😊 😃
😂😂😂😂Wakitafuta waziri wa gesti hauzi Jeiefu, nakupendekeza wewe...
Duh mkuu kama meneja mwandamizi.Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park
Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.
AM iko Msamala miembeni
Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.
Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Usiku huu nenda La charlz au Chantaburi ukasuuze koo na maji ya uzima.JF Great Thinkers, hakiharibiki kitu, nmeshafika Songea, nimekula lunch Delight Garden Park, lodge =PNC hotel, ahsanteni watu wa Jamii Forum
Aaah wapiii, 😂😂😂😂Duh mkuu kama meneja mwandamizi.
Kuna kabila wangesema cocastic NGATISHAAaah wapiii, 😂😂😂😂
Wella sio pabaya kuna jamaa chini pale anakaanga mbuzi na vitunguu vingiWella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park
Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.
AM iko Msamala miembeni
Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.
Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Ndiyoo, Viti maalumu.Cocastic hongera, nimeonaa umechukua fomu ya mboga mboga kugombea Ubunge huko.
Wella ya town au Msamala mtazamo?Wella sio pabaya kuna jamaa chini pale anakaanga mbuzi na vitunguu vingi
Shangaa wewe sasa, watu wana kelele humu alafu ukute Dar yenyewe kapanga kwenye zile nyumba kati korido huku chumba kule chumba 😀😀😀 kama kwenye kombolela.Hicho kitu nilisha kataa, siwezi maisha ya kuigiza.
Kwani Dar ni kitu gani? Nimekaa pale miaka 5, ilivyoisha nimeondoka zangu.
Yaan mtu utaabike. Uhangaike, udhalilike eti kisa kukaa Dar, wakati nyumbani kupo tena fresh kabisaa..
Aaah wee!! Niko home na life linasonga km kawaaa.
Hivi kwanza hizi ni za doctor wella au?Wella ya town au Msamala mtazamo?
😀😀😀 wengi wa wapi jamani, mbona unawasingizia hivi. Emu sema uliko niambie watoto wazuri wapite hapo uje utoe ushuhuda hapa.Wengi wamejichubua aisee mimi huwaga sina mzukanao😆😆
Hilo nakubaliKule ni ukali wa vitendo siyo sura
Hapo sasa, 😂😂😂Shangaa wewe sasa, watu wana kelele humu alafu ukute Dar yenyewe kapanga kwenye zile nyumba kati korido huku chumba kule chumba 😀😀😀 kama kwenye kombolela.
Kuna siku nilikwambia hizi fake ID ukiunganisha dot wallaih unaweza mjua mtu.
Kuna mdada maarufu sana humu, nilikuta post insta yuko shughulini alafu kala tag pale. Jina lake likanigusa moyoni. Nikacheki post zake, nikarud humu kucheki comments zake. Wallaih 95%naamini ni yeye. Na jina analotumia insta na hapa limetofautiana herufi 1 TU.
Kama ni yeye kweli, na ninaamini ni yeye, aiseee, watu tunachukuliana poa, huyu Dada anaishi jamani, alafu mzuriiii 😍😍
Mimi dar najiegesha ila huyu Dada wa mkoani anaishi jamani, aaah. Watu wanapambana na big business mikoa, mawinga wa kariakoo na mabando yao wako kuwanyali watu na maisha yao. Eti kisa dar.
Sijui, ila nasikia Muhusika aliwahi kuwa mkuu wa mkoa hapo zamani, enzi za JK.Hivi kwanza hizi ni za doctor wella au?
Mbwa na paka hao wewe, mbuzi gani ajazwe vitunguuWella sio pabaya kuna jamaa chini pale anakaanga mbuzi na vitunguu vingi