Lodge kali Songea Mjini

Lodge kali Songea Mjini

Deo Lodge Ipo Hapo Jirani Na Kiwanja Cha Mashujaa
Ni Jirani Kwenye Huduma Muhimu, Banks Zote, Migahawa Homo, Krista
Unaswampa Tu Na Mji
 
Wella, iko town centre na pia Msamala Mtazamo.
Ugabe, iko town Centre.
OK iko town karibu na Krista park

Apple iko Bomba mbili
RM iko Bomba mbili.
Hizi utapata watoto wakali kutoka kiwanja kikali na kipyaa hapo Chantaburi.

AM iko Msamala miembeni

Half London hii ni guest iko nyuma ya kiwanja kikali, La charlz, watoto wakali km woteee.

Karibu Songea, karibu Kunyumbaa..
Usengwilii wenga.
Mbona unamtajia za zamani wakati kuna vyuma vipya , hapo wela pasafi kiasi
 
Mbona unamtajia za zamani wakati kuna vyuma vipya , hapo wela pasafi kiasi
Za zamani zipi? Yeye c kataka kali na zilizo town?

Zamani hapo ni Ugabe na OK, but still ziko good as if ni mpyaa, zingine hizo mbna ni mpyaa.
 
Tanzania ndo nchi pekee nyumba za wageni wanalala wenyeji..!! 😹😹
 
Back
Top Bottom