GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Majamba ni kichwa mbaya!.
Pasco
Kwa Kujamba au?????????
Majamba ni kichwa mbaya!.
Pasco
Tumaini ipi?? Hii ya mzinzi Mdegela??
Du! mwanangu ulikuwa kipanga kweli weye.
mbona wageni ni wengi mida hii kwenye hii thread kuliko wenyeji............wenyeji 4, wageni kumi na moja! why???????????
Mnaponda sana kuhusu tumaini nyie watu ila kwa taarifa yenu ndo chuo kinachotoa watu wazuri kwa sheria nenden law xul muone wanafunz gan wanaongoza kwa kufaulu tena first seating co kwa kusup...chezea nyie.ulizeni maadvocate walioapishwa tar 6/12/2013 wengi product ya tumain.shenzi nyie.hao ud mambulula tuu nenden law xul mkaone wanavyofanya discussion zao za ki form one.nyie vip nyie.kitanda usichokilalia hujui kunguni wakee.
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Ist class ya Tumaini?nyambaf..ni sawa na pass ya UDSM...maana hicho chuo mnadanganywa mnapewa marks za juu ili kuvutia biashara..
mbona unakashfa?au ndio wivu?watu wengine aisee!cha kwao ndo wanakiona mali kumbe usikute ndio bogus wa kutupa
Jamani vitu vimebadilika. cku hizi hakuna how you perform it is just who knows you.
kama kuna mtu anaweza kumsaidia amsaidie tu. mimi mwenyewe nimemaliza UDSM nilikua nakimbiza balaa kuanzaia primary mpaka chuo.
lakini no body cares nipo hm.
1st class ya tumaini,ha ha ha,nakumbuka wakat law school,inaanza pale udsm,walikuja 1st class wa tumaini na mbwembwe zao,ukiwaona wako tofauti na wanafunz wa law pale udsm,kilichowakuta ni huzuni,thats why wanaogopa kwenda law skul hadi leo,udsm sio mchezo pale ni kitabu.
Lakini na nyinyi acheni dharau. Kwa nini mnabeza hivyo hizo festi klasi za Tumaini? Kwani wanaosoma Tumaini hawawezi kuwa na festi klasi? Acheni dharau zenu hizo. Kusoma UDSM wala si ujiko kihivyo.
Aisee tumaini siyo chuo ile ni club hamna kitu pale mi nimewaona wanavyochemka mahakamani graduates wa tumaini yaani unajiuliza huyu naye ni wakili au hiyo sahau ningeshangaa kama ungekuwa na 1st class ya Mzumbe halafu huna kazi ud hakutakuwa tena na 1st class kwakuwa wanafnzi huendekeza ngono zembe, pombe,bangi,unga,disco,kuvaa,muda wa shule wataupata wapi ushahidi kagua matokeo ya faculty of law utaona pass,disco,repeat year zilivyo nyingi mwaka 2002 waliopata upper 2nd walikuwa kumi na lower. Walikuwa 52 the rest walifeli sasa hapo ni shule wameenda kukua!!!!!!!
Kesho nitatuma list ya recruitment agencies, watu wasikukatishe tamaa. Naamini ulijibidiisha ukaipata. Sasa kwanini watu hawataki ujisifie kwa ulichokivuna?
Nje ya nchi lecturers wanafurahi wanapoona wanafunzi wao wana pass, lakini kwa Tanzania ni tofauti.
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Hilo jina tu.
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
daaaa inaonyesha wewe ujasoma LLb kabisa kama wewe umesoma law karibu law school of tanzania njoo na hiyo 1 class yako utukute sisi wenye pass uone jinsi tunavyokukimbiza kama vile hujawahi kusoma ok
Fuatilia wanafunzi wa udsm wanafaulije law school of Tanzania kulinganisha na wanafunzi wa Tumaini.