Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
yaani wanavyomponda huyu dogo! Kwani akisema ana first kinachokwaza nini! Dogo yupo sokoni acheni ajitangaze.Lakini na nyinyi acheni dharau. Kwa nini mnabeza hivyo hizo festi klasi za Tumaini? Kwani wanaosoma Tumaini hawawezi kuwa na festi klasi? Acheni dharau zenu hizo. Kusoma UDSM wala si ujiko kihivyo.
Watu wamejaa majungu tu humu. Watz kweli hatupendani.