Wewe ni kilaza, !st class wote hubakizwa chuoni au hata kuajiriwa na vyuo vingine ka ma Tutors n ahusomeshwa na uwa Professors baadae. Kwa nini Tumaini wasikuchukue? Nasikia eti Tumaini wanatoa !st class ili kuvutia wateja na ikiwa Lecturer atatoa marks kdg kibarua kinaweza kuota nyasi, balaa...Jamani vyuo ni vya Umma tu, huko private hamna kitu, tuna jamaa wengi tu wa Tumaini ofcn kwangu yaani ni mizigo tuu, kakitu kadogooo utaskia mkuu hebu hapa................... full kuomba miongozo........... shame....