Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
1st class tumaini:coffee:opcorn:
Dege Dege, Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru, wakati huo akiitwa Antipas Tundu na alikuwa toto tundu kweli.
Pia ni kweli ndio alikuwa best performer wa mwaka wake lakini kuwa best performer ni kitu kimoja na kupata 1st Class ni kitu kingine. Best performer anapatikana kila mwaka hata darasa zima wakipata pass, mwenye lower second ndie best perfomer.
Tindu Lissu alipata Upper Second na GPA ya juu kabisa with honours ila sio 1st Class.
Mlisikia wapi Ist Class wa Law anaomba kazi?. 1st Class wote kwanza huwa wanakuwa retained na chuo husika. Hugombewa kupewa scholaship ya masters na ajira juu, hivyo mwenye 1st Class huunganisha shule na sio kutafuta kazi, kazi ndizo huwa zinawatafuta watu hawa!.
Kupata 1st ya LL.B UDSM shughuli yake ni nzito. Binafsi niliulizia ni kwa nini, nikagundua jamaa wanabana sana. Nikiwa pale chuo nilizisoma thesis za ma denti wawili wanaitwa Baimu na yule dogo Nyaga Mawalla, walistahili kabisa kupata 1st ila jamaa waliwabania. Tumaini, Mzumbe na St. Agustine kwao 1st ni za kumwaga ili ku boost public image ya vyuo vyao.Hilo jina tu.
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
Mbona anaonekana kilaza tu,1st Class ya UDSM!!Lazima uwe mzima kiukweli.hata Ngeleja, william ni 1st class LLB UDSM
Tumaini ipi?? Hii ya mzinzi Mdegela??natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Mbona anaonekana kilaza tu,1st Class ya UDSM!!Lazima uwe mzima kiukweli.
1st class ya tumaini,ha ha ha,nakumbuka wakat law school,inaanza pale udsm,walikuja 1st class wa tumaini na mbwembwe zao,ukiwaona wako tofauti na wanafunz wa law pale udsm,kilichowakuta ni huzuni,thats why wanaogopa kwenda law skul hadi leo,udsm sio mchezo pale ni kitabu.
<br />Aisee tumaini siyo chuo ile ni club hamna kitu pale mi nimewaona wanavyochemka mahakamani graduates wa tumaini yaani unajiuliza huyu naye ni wakili au hiyo sahau ningeshangaa kama ungekuwa na 1st class ya Mzumbe halafu huna kazi ud hakutakuwa tena na 1st class kwakuwa wanafnzi huendekeza ngono zembe, pombe,bangi,unga,disco,kuvaa,muda wa shule wataupata wapi ushahidi kagua matokeo ya faculty of law utaona pass,disco,repeat year zilivyo nyingi mwaka 2002 waliopata upper 2nd walikuwa kumi na lower. Walikuwa 52 the rest walifeli sasa hapo ni shule wameenda kukua!!!!!!!
Hilo jina tu.
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
Kwani festi klasi ndo kipimo cha akili? Kila siku nawaambieni hapa kuwa kupata alama nzuri shuleni si kigezo pekee cha akili za binadamu.
Lakini na nyinyi acheni dharau. Kwa nini mnabeza hivyo hizo festi klasi za Tumaini? Kwani wanaosoma Tumaini hawawezi kuwa na festi klasi? Acheni dharau zenu hizo. Kusoma UDSM wala si ujiko kihivyo.
Hivi kwani hiyo festi klasi ya sheria hapo UDSM unatakiwa ufanye maajabu gani hadi uipate? Na what is the significance of getting that much touted first class? That you are the smartest? That you are the Albert Einstein of jurisprudence?