LL.B 1st class holder

wa2 wanajishaua kuiponda UDSM wakat hawana lolote na utakuta most of them waliapply wakakosa ndio wakaenda vyuo vngne,achen ushamba nyiny mwenye chake mpe.
 
KUKU KUKU TU JOGOO JINA,UDSM ZAMANI, SIKU IZI WA2 KUTOKA VYUO VINGINE WANAKIMBIZA... ALAFU WANAOKUWA NA LIFE ZURI UWA NI WA VYUO VINGINE NA NDIO WAJANJA, ILA WA UDSM KIUKWELI WENGI WAO NI WALUGA LUGA YANI WAKUJA, WASHAMBA.. "samahani kwa maneno yangu yanye ukweli ndani yake"
Hivi kwa nini Wahitimu wa Mzumbe University ndo wanaongoza kwa kuajiriwa na taasisi za umma? what is wrong with UDSM graduates?
 
Jamani Degree za wenzenu Tumaini ni 'Mdebwedo' 1st Class Rundo si za Kutafuta!
Kwao elimu si vita!kama Mzumbe na UDSM!
 
pole saaana............wewe ni mmoja wa wahanga walionyimwa udahili UDSM ukatafuta hifadhi kwingine...........hata ukukashifu...........UDSM quality iz there to stay!!!!!!!!!!!! pole kwa kukosa golden chance uliyoitamani kwa muda mrefu!!!!!!!!!!!

kama unasema mnafundishwa na walimu wa UD basi unakubali kuwa UD wakali...........mbona UD haiaziimi walimu kutoka Tumaini???
sorry 4ua concious!!!!!!!

Hiv jaman huu ugonvi wa mara UDSM juu mara Tumain mara cjui udsm wanaptwa kwa migomo na Udom utaisha lini, kinachohitajika ni taaluma unayotokayo sehemu na sio chuo ulichosoma, but if u think chuo kitakusaidia kufanya kazi bila juhudi binafsi go ahead and b happy halafu mwisho wa siku unao wadharau leo wawe walimu wako kweny kazi.
Pili tukubali tukatae ukiritimba wa chuo cha UDSM ndo umesababisha inchi hii kuwa nyuma kielimu ukilinganisha na wa EA wenzetu. haiwezekani watu wanafaulu vizuri huku chin na wanachaguliwa koz wameonekana bright huku chini halafu nusu yake wadisco kama mchezo kama sio ukiritimaba n nn au tuseme udsm hawajui kufundisha something ambacho siamin koz udsm ndo ina maprofesa wengi na PHD holder wengi kuliko chuo chochote so ni just u mimi wa malecture na maprofesa ndo wanasababisha yote haya.
 
Nyani ngabu huwez jua ugum wa sheria mpaka uingie kwenye hii field adimu, sheria sio kukariri tu legal maxim au case law au vifungu vya sheria, law is more than that, and u nd to be gd and bright to be a gd lawyer
 
Nyani ngabu huwez jua ugum wa sheria mpaka uingie kwenye hii field adimu, sheria sio kukariri tu legal maxim au case law au vifungu vya sheria, law is more than that, and u nd to be gd and bright to be a gd lawyer

Law is not that difficult. It is not as hard as theoretical physics or aeronautical engineering! Google the people with the highest recorded IQs and tell me if you find any lawyers in that list.

But you are right. You need to be somewhat intelligent in order to be a good lawyer. But that begs the question of what is a good lawyer? Is it one who wins the most cases or is it one who understands the law?

Was Johnnie Cochran, Jr. smarter than Chief Justice John Roberts, Jr.?
 
Nyani ngabu huwez jua ugum wa sheria mpaka uingie kwenye hii field adimu, sheria sio kukariri tu legal maxim au case law au vifungu vya sheria, law is more than that, and u nd to be gd and bright to be a gd lawyer
<br />
<br />
hamna k2,na wanaosoma astronomic sciance wasemeje?
 
mbona wageni ni wengi mida hii kwenye hii thread kuliko wenyeji............wenyeji 4, wageni kumi na moja! why???????????
 
kama rahisi............tafuta udahili wa LL.B UDSM.........ukifanikiwa kugraduate rudi humu jamvini uatuhabarishe............basically sioni sababu ya kuhangaika kukuelewesha kuhusu hili coz it seemz una bias na sheria....., altenatively tafuta mtu unayemwamini kuwa ni kipanga umpeleke UD au MZUMBE afu uone feedback atakayokupatia!!

I think u are among of people who are so jelouse of the legal profession, so sorry for that!!

What's there to be jealous of, really? Nothing, nada, zilch. Eti jealous, unaijua profession yangu wewe? Kwanza jifunze kuandika vizuri. Pengine ungekuwa unajua kuandika vizuri hata nisingepata shida kukuelewa!
 
<br />
<br />

Mkuu...udsm law? naona ni ukiritimba wa kozi yenyewe na walimu wanaotufundisha. Miaka 50 tangu kitivo cha sheria kianzishwe (1961) 1st class ni 14 tu!! we're not vilaza, ila mfumo wa pale udsm- law unatufelisha.

kuna mfumo ulijengwa secondary schools kuwa watu wasiojiweza class huwa wanasukumiwa kusoma arts....kwa kiswahili ndo yanaitwa masomo ya sanaa au masomo ya usanii.....halafu hawa watu huwa inferior muda wote mpaka wanamaliza O'level ..hii kitu inanifanya niamini japo kidogo kuwa wanaokuja pande hii kwa sehemu ni vilaza as compared to those opting for science subjects. exceptions zipo, kwa maana kuna vipanga balaa ambao anakuwa ameamua kuelekea upande huo...i guess ndo hao 14 and few others. kuna habari kuwa hata akina Prof shivji wana background ya Science na akaja kuwa nguli wa Law.
 
Jamani Degree za wenzenu Tumaini ni 'Mdebwedo' 1st Class Rundo si za Kutafuta!
Kwao elimu si vita!kama Mzumbe na UDSM!

si kweli ndugu....Mzumbe ni kiwanda cha kuzalisha degree mdebwedo. kimsingi kilianzishwa kwa ajili ya in service .
hata MBA za hapo fuatilia utajua ukweli wake....UDSM more than 2yrs coursework...MZUMBE ni less than a year.
wanafunzi wasanii na walimu wao vivyo hivyo...product yake je????
 
Watu wa Udsm mtaishia pata Vi gpa VYA 2 hata Masterz hamtasoma shauri zenu


tofauti vi-gpa vya 2 vya udsm vinapata kazi za ukweli, chuo chako ukipata ya 2 ndo umejichimbia kaburi hahahahhahahahahahahaahahahaah
 
What's there to be jealous of, really? Nothing, nada, zilch. Eti jealous, unaijua profession yangu wewe? Kwanza jifunze kuandika vizuri. Pengine ungekuwa unajua kuandika vizuri hata nisingepata shida kukuelewa!

nashukuru kuwa umeweza kuelewa japo post yangu ilikuwa na makosa madogomaadogo,

nimefikiri kuwa una wivu coz umeargue as if watu wanapretend kuwa sheria ni ngumu, wakati wewe unajua ni rahisi.

profession yako siijui, ila dhamira yako inakubaliana na nilichokueleza. Kwa vile mimi ni mtafiti nimepata wazo kuwa huenda hauiinjoy profession yako, you feel like practising law wakati huohuo huna uwezo huo., ALSO inaelekea kuwa kuna wanasheria ambao either uliwahi kuwa nao close au unaukaribu nao kwa sasa wakakuboa sana. Hivyo umefikia hatua ya kugeneralise mambo!!!!

nimeona umendika kuwa "miafrika ndivyo tulivyo" it is very clear that umekata tamaa sana, you have negativity towards Africans.
 
nashukuru kuwa umeweza kuelewa japo post yangu ilikuwa na makosa madogomaadogo,

nimefikiri kuwa una wivu coz umeargue as if watu wanapretend kuwa sheria ni ngumu, wakati wewe unajua ni rahisi.

profession yako siijui, ila dhamira yako inakubaliana na nilichokueleza. Kwa vile mimi ni mtafiti nimepata wazo kuwa huenda hauiinjoy profession yako, you feel like practising law wakati huohuo huna uwezo huo., ALSO inaelekea kuwa kuna wanasheria ambao either uliwahi kuwa nao close au unaukaribu nao kwa sasa wakakuboa sana. Hivyo umefikia hatua ya kugeneralise mambo!!!!

nimeona umendika kuwa "miafrika ndivyo tulivyo" it is very clear that umekata tamaa sana, you have negativity towards Africans.

Hakika wewe hunijui kabisa na huna hata chembe ya "idea" mimi ni mtu wa namna gani. Je, unaweza kuniambia kwa kinagaubaga ugumu wa kusoma sheria uko wapi?

Kwa mfano, kama unajua chochote kuhusu theoretical physics utajua kwamba ni ngumu kwa sababu ni abstract. Je sheria ugumu wake uko kwenye nini?
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

Kama haya maneno ni kweli, hiki si kitu cha kujivunia.

Hili litaonyesha ubovu wa mfumo wetu wa elimu kuliko ugumu wa first class.

This seems more like some medieval guild aimed at "barrier to entry" to that distinguished profession more than educational excellence.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom