LL.B 1st class holder

LL.B 1st class holder

acha uongo,dr migiro hakua na 1st class ila alikua the best female student kwa mwaka wao.

Kuna mamtu mabishi sana katika ulimwengu huu Kama hili lipigwa mpini, oohh sorry mpiga msuli
Kwanza migiro class la kina tundu alikua analiogopa sana
Vijana walikua wanampa shinda kwenye somo lake la law of torts
Kuna siku alienda kuwatega kina lissu class na kimini,kuna jamaa alimshika makalio
Walikua makalai ya kutosha
Ngoja nikutafutie no zao wapigie waulize
 
Hata huwa hufuatilii mambo UDSM kuna first class 4 tu,prof.majamba,prof.kabudi,dr.tenga,dr.migiro

Hv migiro anaweza toka na first class kulizid kembe Kama Mwakyembe,Warioba na Mvungi R.I.P
Kweli wewe mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mbio za mwenge
 
Sina wivu.

Nisivyo na wivu, hata wivu wenyewe ukiniona utanionea wivu.

Hujajibu hoja, umekuja na viroja.

First off, sijaitaja UDSM. Naongelea somo la sheria dunia nzima. Kama umeona UDSM tu wigo wako mdogo kimawazo.

Sheria itakuwaje ngumu somo unasoma kwa vitabu tu? Kuhusu habari ambazo zimeandikwa na watu tu na zinazoweza kupindishwa siku yoyote na watu ambao hata hawajui sheria?

Utaniambiaje kwamba kusoma sheria ni kugumu kuliko kusoma habari za "transcending the rapture of the space-time continuum at the singularity of a black hole" kwa mfano?

Am pretty sure hoja yako wameiona wakaichunia.

Hawa wanasheria wana kelele sana wakidhani wao tu ndo wamesoma vitu vigumu. Wakati vitabu vyao ni kama story za Shigongo tu.
 
Dege Dege, Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru, wakati huo akiitwa Antipas Tundu na alikuwa toto tundu kweli.

Pia ni kweli ndio alikuwa best performer wa mwaka wake lakini kuwa best performer ni kitu kimoja na kupata 1st Class ni kitu kingine. Best performer anapatikana kila mwaka hata darasa zima wakipata pass, mwenye lower second ndie best perfomer.

Tindu Lissu alipata Upper Second na GPA ya juu kabisa with honours ila sio 1st Class.

Mlisikia wapi Ist Class wa Law anaomba kazi?. 1st Class wote kwanza huwa wanakuwa retained na chuo husika. Hugombewa kupewa scholaship ya masters na ajira juu, hivyo mwenye 1st Class huunganisha shule na sio kutafuta kazi, kazi ndizo huwa zinawatafuta watu hawa!.

umemaliza mkuu... usipoeleweka hapa tena basi watakuwa wana vichwa vgumu na wabishi kama wajumbe wa katiba.
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

kuna kijana anaitwa Sauel Gerald alimaliza pale UDSM 2012 1st class LLB amebaki kufundisha pale UD hivo siyo kweli kwamba 1st class ziliishia 80's.
alikuwa Class mate wangu Ilboru pia
 
[h=2][/h]"Education is what remains after one has forgotten what one has learned in school".Albert Einstein

Whatever score you had in your previous studies,nowadays potential employers will like to know what can you offer them.
They can not rely completely on you past scores to offer you a job.
 
hongera ila nakushauri jiunge na vijana wengine kama sita mfungue kituo cha msaada wa kisheria , pia mnaweza kutoa njia hii online kupitia mitandao

Dogo, fanyia kazi huu ushauri ni mzuri na usipoufanyia kazi leo utaufanyia kazi miaka 20 ijayo so the earlier the better. Anza sasa ungali kijana uoate uzoefu na inalipa sana, sana sana.
 
TUMAINI NACHO UTAZUNGUMZIA WANATOA SHERIA?

Kitu rahisi tu icho chuo kiko kibiashara zaidi

na kuhusu Tindu Lissu

biograph yke ina onyesha alipata Upper Second.

Ni ajabu la 8 la dunia baada ya maajabu 7 1st Class wa sheria anaomba ajira Jamii Forum.

Iko wazi tu kwamba 1st Class wote huwa wanabakizwa chuo kufundisha.

Km hata chuo chako cha Matumaini hakija kubakisha basi ndo ujue iyo First class yako ni Tasa haizai
 
TUMAINI NACHO UTAZUNGUMZIA WANATOA SHERIA?

Kitu rahisi tu icho chuo kiko kibiashara zaidi

na kuhusu Tindu Lissu

biograph yke ina onyesha alipata Upper Second.

Ni ajabu la 8 la dunia baada ya maajabu 7 1st Class wa sheria anaomba ajira Jamii Forum.

Iko wazi tu kwamba 1st Class wote huwa wanabakizwa chuo kufundisha.

Km hata chuo chako cha Matumaini hakija kubakisha basi ndo ujue iyo First class yako ni Tasa haizai

Hahahahah
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

Ebwana huyo Majamba Uprofesa Wake Yaonekana Kapata Kwa Umahiri wa Kujamba Jamba Hovyo au????????
 
Duh...sasa sijui tumuamini nani.

Niamini Mimi Niliye na Zero Class!!!!!!! Inaanza Namba Sifuri Kisha Inakuja Namba Moja Hivyo GENTAMYCINE Ndiyo Kichwa Kushinda hata Wote hao Mliowataja. Hapa Serikali bado Haijaruhusu Bange ( Bangi ) Sijui Wakiruhu Nitakuwaje:smiling:
 
First Class LLB UDSM mmeisahau ya Mutula Kilonzo, Former Constitutional and Legal Affairs Minister wa Kenya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom