LL.B 1st class holder

Kwa hyo ndo umeamua kuutangazia umma wa watanzia kuwa una 1st class Llb frm 2main?
 
natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
 
mbona mnamponda baada ya kumpa support aisee msaidieni au ndio watz atupendani..mkuu nenda kwenye recruitment office au law chambers mkuu..
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

Hilo jina tu.

Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?

Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
 
Ist class ya Tumaini?nyambaf..ni sawa na pass ya UDSM...maana hicho chuo mnadanganywa mnapewa marks za juu ili kuvutia biashara..
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.<br />
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.<br />
<br />
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
<br />
<br />
acha uwongo ww hata LISSU altoka na first class na kwa mwaka walio'graduate ndio best performer of the faculty.
 
Hilo jina tu.<br />
<br />
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?<br />
<br />
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
<br />
<br />


First class honours is a political thingy inatolewa kisiasa siasa. Upper second is real thing.
 
Hilo jina tu.<br />
<br />
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?<br />
<br />
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
<br />
<br />

Mkuu...udsm law? naona ni ukiritimba wa kozi yenyewe na walimu wanaotufundisha. Miaka 50 tangu kitivo cha sheria kianzishwe (1961) 1st class ni 14 tu!! we're not vilaza, ila mfumo wa pale udsm- law unatufelisha.
 
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.

UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.

mbona unakashfa?au ndio wivu?watu wengine aisee!cha kwao ndo wanakiona mali kumbe usikute ndio bogus wa kutupa
 
Wewe ni Janja Pori, ushatuambia.

First Class huwa hatutafuti kazi. Ukikosa BoT ukafundishe chuo, sawa sawa?
 
&lt;br
acha uwongo ww hata LISSU altoka na first class na kwa mwaka walio'graduate ndio best performer of the faculty.
Dege Dege, Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru, wakati huo akiitwa Antipas Tundu na alikuwa toto tundu kweli.

Pia ni kweli ndio alikuwa best performer wa mwaka wake lakini kuwa best performer ni kitu kimoja na kupata 1st Class ni kitu kingine. Best performer anapatikana kila mwaka hata darasa zima wakipata pass, mwenye lower second ndie best perfomer.

Tindu Lissu alipata Upper Second na GPA ya juu kabisa with honours ila sio 1st Class.

Mlisikia wapi Ist Class wa Law anaomba kazi?. 1st Class wote kwanza huwa wanakuwa retained na chuo husika. Hugombewa kupewa scholaship ya masters na ajira juu, hivyo mwenye 1st Class huunganisha shule na sio kutafuta kazi, kazi ndizo huwa zinawatafuta watu hawa!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom