Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
<br />Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.<br />
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.<br />
<br />
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
<br />
<br />
acha uwongo ww hata LISSU altoka na first class na kwa mwaka walio'graduate ndio best performer of the faculty.
<br />Hilo jina tu.<br />
<br />
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?<br />
<br />
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
Registered advocate?natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
<br />
<br />
First class honours is a political thingy inatolewa kisiasa siasa. Upper second is real thing.
<br />I never knew that.
<br />Hilo jina tu.<br />
<br />
Na hivi ni kwa nini hakujawa na 1st class tokea miaka hiyo. Nini kilicho kigumu kuhusu sheria ambacho kinawafanya watu washindwe kupata hizo 1st class?<br />
<br />
Au wanafunzi wanaochukuliwa kwa hiyo kozi ni vilaza?
natafuta Kazi graduate frm Tumaini Very talented in law practice
Kumbe 1st yenyewe ya Tumaini!.
Hebu naomba usiaibishe heshima ya 1st Class, tangu lini 1st class holder wa sheria akatafuta kazi?. Hii ni dalili hiyo 1st class yako ni ya kupewa tuu ili mboost image ya Tumaini.
UDSM nazijua 1st Class tatu, Dr. Asha Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamudi Majamba ambaye ya kwake ndio ya mwisho 80's mpaka sasa, more than 20 years Ist Class haijawahi kupatikana tena, hivyo lazima nione ajabu 1st class wa LL.B kutafuta kazi. Very unusual!.
Dege Dege, Lissu ni school mate wangu tangu Ilboru, wakati huo akiitwa Antipas Tundu na alikuwa toto tundu kweli.<br
acha uwongo ww hata LISSU altoka na first class na kwa mwaka walio'graduate ndio best performer of the faculty.