Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuweni wavumilivu maana huyu shaulini monk (slot) aliwapa EPL msimu ulioisha kwanini afukuzwe unataka familiar yake ikake wapi😁
Na wewe unaamini ni yeye alitupa?
Ile ni nguvu ya Klopp
Jamaa alikuwa tayari timu ipo tayari kwenye morali kubeba vikombe vyote..
Kwa ujinga wake akachukua kimoja .
 
Ila mpira ni nyoko aisee, humu ndani kulikua na english nyingi sana, ila sasa wote wamekimbia jukwaa, kichwa mviringo bado yupo sana maana unamfukazaje kocha aliyewapa EPL msimu wake wa kwanza tu???
 
Ila mpira ni nyoko aisee, humu ndani kulikua na english nyingi sana, ila sasa wote wamekimbia jukwaa, kichwa mviringo bado yupo sana maana unamfukazaje kocha aliyewapa EPL msimu wake wa kwanza tu???
Hamna kocha humo
Hawezi baki
Aondoke yy na Edwards wake arudi Klopp
Tuanze kufaudu mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom