Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii ni
Wale wa Msimu uliopita waliokuwa wanatuletea Makala za uchambuzi za mbinu za Slot kwa hiyo walikuwa wakitudangnya?

Mbona sasa hivi hawatuandikii tena hizo Makala za ufundi wa Slot?

Hii inaonesha wazi hawakuwa wachambuzi bali walikuwa wapiga Ramli tu kudanganya watu kupitia terminologies za mpira.
 
Wale wa Msimu uliopita waliokuwa wanatuletea Makala za uchambuzi za mbinu za Slot kwa hiyo walikuwa wakitudangnya?

Mbona sasa hivi hawatuandikii tena hizo Makala za ufundi wa Slot?
Mona huyo
Unakuta amepanga maneno kwenye Aya
Utasema kweli😂😂😂😂
 
Hii ni

Hii inaonesha wazi hawakuwa wachambuzi bali walikuwa wapiga Ramli tu kudanganya watu kupitia terminologies za mpira.
Manyaza huyo
Yeye Hadi msimu huu Bado alikuwa amekomaa na huyo tumaneno utasikia game control😆.

Sijui yupo wapi huyu Mheshimiwa
Atuchambulie hii ya kiazi kupiga na Wolves.
 
Timu yangu jaman kwa sasa imekuwa HADHA FUNUNI MAJNUNI

Hamna kocha mule yaan timu umecheza nayo mara 2 na zote umepigwa

Jamaa wakipak bas next week timu yetu itaishia round of 16
 
Hizi habar za kugawa ukocha wa timu kubwa kama liverpool hovyo hovyo itatuponza.
Hii timu bora apewe UNAI
 
Hivi kwani haiwezekani Klopp akarudi tena wakati tunasubiri kujipanga mara nyingine?

Heri hata kocha angekuwa Gerrard
Nilisema Gerrard mkanipopoa kuwa siyo kocha
Hivi Gerrard na huyu kocha wenu wa Sasa, nani ana afadhali?
 
Humu yale majarida ya inglishi hayapo tena sikuizi?

Kweli kutesa kwa zamu
20250516_225237.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom