Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi kwani haiwezekani Klopp akarudi tena wakati tunasubiri kujipanga mara nyingine?

Heri hata kocha angekuwa Gerrard
Nilisema Gerrard mkanipopoa kuwa siyo kocha
Hivi Gerrard na huyu kocha wenu wa Sasa, nani ana afadhali?
Kuwa Legend wa club yako haimanishi ukirudi klabuni mwako utakuwa kocha Bora wa makombe, hizo walibahatisha akina Zidane tu akizungukwa na "Magalactos" akina Bale,CR7,Modric,Kroos na Benzema... Mimi hata Xabi Alonso Sina Imani nae kiviiile, sana sana tu achoweza ni kumchezesha vyema kinda wake Florian "Vitziii"....
Lampard legend Chelsea na Ole Guna Soljaker si tuliwaona hapo
 
KIPARA huko kwenye training nasikia huwa anawaambia wachezaji wacheze wanavyojua wao.
Timu haieleweki hata inacheza vipi na inataka nini.
 
Kuwa Legend wa club yako haimanishi ukirudi klabuni mwako utakuwa kocha Bora wa makombe, hizo walibahatisha akina Zidane tu akizungukwa na "Magalactos" akina Bale,CR7,Modric,Kroos na Benzema... Mimi hata Xabi Alonso Sina Imani nae kiviiile, sana sana tu achoweza ni kumchezesha vyema kinda wake Florian "Vitziii"....
Lampard legend Chelsea na Ole Guna Soljaker si tuliwaona hapo
Kuliko huyu Kipara
Bora hata angekuwa Gerrard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom