Katika taaluma ya ukocha, kuna tofauti kati ya:
Outcome (matokeo)
Performance (kiwango cha uchezaji)
Timu inaweza:
kushinda bila kucheza vizuri (overperformance)
au isishinde lakini ikacheza kwa mfumo sahihi (underperformance)
Msimu uliopita Liverpool ilipata outcome kubwa (Ubingwa),
lakini kitaaluma hiyo haimaanishi kuwa:
mfumo hauhitaji kurekebishwa au kuboreshwa.
Makosa mengi ya makocha hutokea pale:
wanapoamini ushindi = mfumo mkamilifu
wakati dalili za fatigue, injuries, na sustainability tayari zipo.
Kwa nini project ilianza msimu wa pili, si wa kwanza?”
Hili ni swali la kawaida, lakini kitaaluma jibu lake ni rahisi:
Msimu wa kwanza wa kocha mpya mara nyingi hutumia mfumo uliokuwepo
sababu:
- Wachezaji bado hawajabadilishwa
- Mabadiliko makubwa yanaweza kuharibu momentum
- Kocha anachunguza strengths & limits za squad
Ndiyo maana:
Slot aliruhusu timu icheze karibu na peak ya Klopp akapata ubingwa (good outcome) na akapata data kamili ya mapungufu ya mfumo huo
Project ya kweli huanza baada ya evaluation ya msimu kamili, sio kabla.
Hii ni kanuni ya Elite Coaching.
Hakuna kocha wa kiwango cha juu anayefurahia sare. Hii ni kweli....
Lakini kocha kitaaluma hujiuliza:
- Sare ilitokana na nini?
- Structure ilisimama?
- Control ilikuwepo?
- Chances conceded zilikuwa ngapi?
*
Kumbuka ukipata sare 0–0
Ukiwa na:
- defensive stability
- control ya midfield
- structure imara
Hii ni foundation, sio celebration.
Mashabiki huwa tunaangalia scoreline,makocha huangalia process.
YNWA ❤️⚽