Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
ππππππππππHivi kumiliki Pistol na kuingia nayo pale Liverpool inahitaji masharti gani?
Nataka nikamalizane na Kichwa mviringo akapumzike Mbinguni.
ππππππππππHivi kumiliki Pistol na kuingia nayo pale Liverpool inahitaji masharti gani?
Nataka nikamalizane na Kichwa mviringo akapumzike Mbinguni.
Klopp angepewa hela alizopewa huyu jamaaNa mimi unaenda kumsusia li timu lake! Timu haiwezi ku-defend dakika za mwisho? Mpuuzi huyu jamaa hata hajui kufungua timu zinazopaki semi! Klopp angekuwa na hiki kikosi tungekuwa tunatabasamu tu!
Kuna watu wanabishaMaressa hana kazi, cv yake inajulikana dunia nzima.
Achaneni na huyo mwanasesere aliyepita na upepo wa klopp kubeba EPL
Wasiojua mpira ndo watabisha.Kuna watu wanabisha
Tunawaambia huyu EPL amechukua kwa kikosi alichokitengeneza Klopp
Tapeli haswaaWasiojua mpira ndo watabisha.
Huyo kipara n tapeli
Kocha anaitwa slot πTapeli haswaa
Kwanza jamaa sijui alipataje ukocha wa timu kubwa kama Liverpool
πππWasiojua mpira ndo watabisha.
Huyo kipara n tapeli
SIku hizi umeacha kuandika maneno ya shomboNimeacha kuangalia mpira kwa ujinga wake
Yaani ananikera yule Baba jamaniπππ½
Mi nilisema mara mia kocha angekuwa hata Gerrard
Hebu wacha hizo!Toka Salah apigwe chini kikosi cha kwanza Liverpool imeshinda michezo yote
walikuwa wanamlaum kocha matak yenu
Yepi hayo ndugu yangu Team Netflix?SIku hizi umeacha kuandika maneno ya shombo
Eh kumbe hujaachaYepi hayo ndugu yangu Team Netflix?
Happy new year ndugu yangu ArsenaneEh kumbe hujaacha
Slot anaondoka soon. Tutamkuta kwenye biasharaHappy new year ndugu yangu Arsenane
Safari hii mkikosa ubingwa,Tafuteni tu biashara nyingine za kufanya,siyo mpira.
Hilo halina ubishi haiwezekani bichwa lote lile halina akili ya ukochaKuna watu wanabisha
Tunawaambia huyu EPL amechukua kwa kikosi alichokitengeneza Klopp
Aondoke tuSlot anaondoka soon. Tutamkuta kwenye biashara
πππππHilo halina ubishi haiwezekani bichwa lote lile halina akili ya ukocha
Huyo kocha si amewapa kombe juzi tu?Liverpool ikitafuta kocha nitarudi tena kuangalia mechi zake
Achukue frame Makumbusho auze simu used from DubaiAondoke tu
Huyu ni tapeli kabisa
Siyo world class coacher kama alivyo Pep, Arterta
Mara mia tungemchukua Tuchel
Viongozi wa Liverpool nao kujiona exceptional
Wakaenda kuokota hili tapeli ona sasa watu tunashindwa kutamba mjini