Extra focus
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 628
- 1,186
Jamaa wamekaziwa kinoma.Nyie kwa dalili hizi mtaanza kupigika muda si mrefu
Kocha asipotafuta namna hali itakuwa mbaya maana timu hazichezi zinapaki bus tu
Jamaa wamekaziwa kinoma.Nyie kwa dalili hizi mtaanza kupigika muda si mrefu
Hiyo ni second yellow...Hiyo siyo red card. Liver inabebwa.
Salah saivi ni mpiga penati tuFT. Burnley 0-1 Liverpool.
Ushindi wa jasho na damu.
Nilichokiona, Salah hana tena msaada kwa timu. Sub ya wirtz ilipaswa kufanywa kwa Salah, Wirtz abakie. Freempong angechukua nafasi ya Salah. Kwa kuwa makocha wote kuanzia kloop na Slot wanaogopa kumpumzisha Salah, basi ataendelea kuigharimu timu.
Liverpool wanapata matokeo lakini mchezo wao haufurahishi.
Ulicho kiona wewe namimi nimekiona pia, sijui kwanini wanaogopa kumpumzisha Salah, ingekuwa ni Pep tayar amesha toka. Na hata awe na game mbaya vipi star rating ni 5 lazima abakie tu hawez kupumzishwa.FT. Burnley 0-1 Liverpool.
Ushindi wa jasho na damu.
Nilichokiona, Salah hana tena msaada kwa timu. Sub ya wirtz ilipaswa kufanywa kwa Salah, Wirtz abakie. Freempong angechukua nafasi ya Salah. Kwa kuwa makocha wote kuanzia kloop na Slot wanaogopa kumpumzisha Salah, basi ataendelea kuigharimu timu.
Liverpool wanapata matokeo lakini mchezo wao haufurahishi.
Hajaangalia tukio kwenye tv, bali ameangalia tv.Mkuu jamaa hakupewa red, alipewa njano ya pili.
Jifunze kuangalia mpira sio highlights
Duh ! Kumbe na wewe Kenge mabengez nawe Shabiki wa mpira ?Hiyo siyo red card. Liver inabebwa.
Oyaa dogo concentrate na masomoDuh ! Kumbe na wewe Kenge mabengez nawe Shabiki wa mpira ?
Nishamaliza nasubiri cheti tu degree tayari mabegani , sasa tayari naanza maisha ya kujitegemea ndio maana nataka nioe kwanza .Oyaa dogo concentrate na masomo
Tupiako basi mazero ya kutosha kwenye cheti chako. Degree upate wapi wewe. Je umechaguliwa chuo gani?Nishamaliza nasubiri cheti tu degree tayari mabegani , sasa tayari naanza maisha ya kujitegemea ndio maana nataka nioe kwanza .
Wewe boya Mimi sikuwa advance , six nilimaliza 2021 nikakaa mwaka mmoja kitaa Kisha nikaanza chuo 2022 nimemaliza mwaka huu nasubiria graduation 🎓 na cheti .Tupiako basi mazero ya kutosha kwenye cheti chako. Degree upate wapi wewe. Je umechaguliwa chuo gani?
Maarassmbusii