Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,942
- 15,707
Leo tunawakanda ase8 goli 3 kwa 1Usiku wa deni haukawii kukucha wajomba
Mna alama zetu tatu tunazihitaji kwa udi na uvumba
Mtake mtatoa msitake mtatoa hata mbebwe na PGMOL leo mtatoa tuView attachment 3459650