Dondoo za Leo kuna uwezekano mkubwa sana BUKAYO SAKA asicheze game tano zijazo ikianzia game ya leo hii ni kutokana na majeraha ya hamstring.
Kuhusu MARTIN ØDEGAARD anaweza akapata dakika chache zaidi tofauti na ilivo tegemewa sambamba na hayo pia KAI Havertz anaweza cheza 2nd half pekee sababu ya ile surgery ndogo ya mguu
Sisi kama LIVERPOOL
Arsenal wana Eze kulingana na ripoti — mchezaji mwenye ufanisi mkubwa wa counter-attack. Liverpool lazima ilinde mpira haraka na ushirikiano kati ya kiungo wa kushoto na beki wa upande kushoto ili kuzuia uharibifu.
Huyu jamaa ni mchezaji anatizamwa zaidi kwa siku ya leo so we have to be in touch with him as a player.