Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Haya bhana. Sisi tunaleta usamaria wema wewe unatuona adui. Shauri yenu. Chiesa akikata moto na Ekitike akishajulikana vizuri na mabeki we EPL tusilaumiane.

Kuhusu Arteta mimi simuamini 100% kwenye suala la kutumia akili ndogo. Jamaa hachelewi kuanza kuleta mapattern ya drafti kwenye issue simple tu za pass mbili tatu and shoot.
Sidhani kama mtajitetea msimu huu, you have a good balanced team.

Timu za London mmeanza msimu vizuri sana, huenda mkasumbua kiasi. Ninyi na Chelsea hamna sababu ya kujitetea sana msimu huu mna timu nzuri ni wakufunzi wenu kuwa na good tactics at a time plus player management.

Sisi bana, tupo weak bado hatuna balanced team zaidi sana defensively, offensively atleast we are good. La kufurahisha we have our ways kulifikia goli la mpinzani. What i need to see ni jinsi gani Gravern anakuja kuingia kwenye haka ka system kapya, ni kazuri ila kana weakness zake aisee. Kanatuacha wazi sana katikati, uzuri its a coachable issue. Next 2-3 games inaweza kutupa taswira ya msimu, kwa Slot kidoooogo msikivu na anakubali weakness yake where it due.

After all watupe Isak na Guehi then boom, ligi tunaweza kuitetea.

Ynwa
 
View attachment 3450358
You Will Never Walk Alone 🔥 🔥

YNWA
Egyptian King Mo Salah. Plus Mane.

TUlikuwa chini ya united kwenye hii record before Mane and Salah's signatures secured. Boom then Egyptian King said ohh No its unacceptable record, please i will come to correct that mistake.

2017/2018 Mo Salah.
2018/2019 Mo Salah & Mane.
2020/2021 Mo Salah.
2024/2025 Mo Salah.

Will he make it 5th this season??

Ynwa
 
Egyptian King Mo Salah. Plus Mane.

TUlikuwa chini ya united kwenye hii record before Mane and Salah's signatures secured. Boom then Egyptian King said ohh No its unacceptable record, please i will come to correct that mistake.

2017/2018 Mo Salah.
2018/2019 Mo Salah & Mane.
2020/2021 Mo Salah.
2024/2025 Mo Salah.

Will he make it 5th this season??

Ynwa
Last Pharaoh standing 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥

YNWA
 
1000116826.jpg

Masterpiece next level Hughes 🔥

YNWA
 
Frimpong ❌
Bradley ❌
Gomez ⁉️
Endo ❓
Szoboszlai 👀
Curtis Jones ❗

Who would you start at right back vs Newcastle?
Its a bit of Challenge indeed, missing your senior Players kwenye mechi kama hii ni ngumu sana.

But i will start with Wataru, ila ukianza na wataru inabidi ufumue kamfumo kidogo. Instead of choosing overlapping and/or under lapping upande huo unafanya inverted.

Endo anaingia katikati kuwa kama 6, ila walati huo Gravern anasogea juu kuongeza numbers, plus Szobo anasogea RHS kuongeza number upande wa Salah (he will be marked totally). Inverted system inaweza ku work vizuri, utaongeza physicality kwenye MF, NUFC watakuja heavily. Mf ya Macca, Gravern and Szobo inaweza kuvaana vyema na NUFC, but I don't see it. WWIII away vs NUFC always couple of seasons wamekuwa hivyo, jumlisha Isak's saga watataka kuwaonesha mashabaki wao something.

Hopefully akianza Endo with inverted system inaweza kuleta ufanisi.
Ila sitoshangaa kuona three Center backs wakianza Konate (on RHS) Leoni, Vvd and Kerkez. Kuna option nyingine ya Gravern kutumika as RB na Jones akaanza kwenye nafasi ya RB ila wakati wa kutengeneza mashambulizi Jones anasogea mbele na Gravern kuwa as third CB, huku Macca or Szobo akiwa mbele yao.

Hizi zote ni options za Slot. May be back to the root itakuwa second half. Let Ekitike play whole 90 mins, why?? Hatuna ST moja hakuna atakayeweza ku battel na NUFC defenders as a ST (false nine role).

Ila option mbili zitatumika kati ya hizi

1. Anza na endo then kuwa inverted
2. Anza na Jones kisha Gravern abaki as a third CB ila atakuwa RHS kama RB Jones awe atumike RHS ila not overlapping or under lapping.

Lets sit back and watch.

Ynwa
 
View attachment 3450358
You Will Never Walk Alone 🔥 🔥

YNWA

Katika 8 za Liverpool
4 - Salah
2 - Owen
1 - Suarez
1 - Mane

Katika 6 za Arsenal
4 - Henry
1 - Van Persi
1 - Aubemyang

Katika 5 za Man United
1 - York
1 - Nelstroy
1 - Ronaldo
1 - Babertov
1 - Van Persi

Huwezi amini Rooney ni Mfungaji bora wa pili wa muda wote ndani ya EPL lakini hajawahi kushinda Golden boot.
 
Ze Ganaz ndio haoooo tushaketi pale juu. Nani anajiona anaweza kututoa pale? Hakuna. Atakayejaribu atapatiwa kichapo si cha sayari hii.

Sasa tunawazia Champions League maana naona kama EPL tushaichukua.

Mwisho wa msimu zile sababu zenu za kuwa hamupendwi na marefa, sijui mara Liverpool inabebwa, mara munahujumiwa n.k. tusije kuzisikia.
Endeleeni kukaa juu ya Mpapai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom