Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwani ACL si ndiyo iliyomtoa GOMEZ kwenye reli?
1000116187.jpg

"ACL" alipata msimu wa 2015 2016 akakaa nje siku 224.

YNWA
 
Yaani nawapa mbinu kabambe kiroho safi kabisa 😀😀😀😀 au unaona kama naleta unafiki? 😀😀

Pia najua nyie hamna jeuri ya kusema eti dili la Isak likikataa kabla ya 1st September eti mtaliacha. Mtakomaa nalo na ikishindikana mtamfuata January.

Isak mwenyewe anawahitaji mumchukue chaap kabla hajazeeka. Anajua msipomchukua sasa hivi ndiyo baaasi tena.
Heheheh kaka hakuna mpinzani atakupa mbinu za ushindi kirahisi rahisi, hivi hivi. Ushauri umekaa ki-nerfique nerfique sana aisee nimeushtukia.

Team ikibana sana hua tunaondoka na haturudi ila Isak tutasubiri mpaka 1/9 fuone kama NUFC wataweka ngumu. Tukishindwa hapo na tuka click vizuri hatutarudi kwake. Mf. Zubi" Gravern ku click tu ikaisha.

Rio na Chiesa waki step up enough, we will walk off the deal.

Ninyi timu kwa sasa ipo well balanced you can do much better this season only if Arteta asipozidisha akili nyingi mahali pa kutumia akili ya kuvukia barabara, yeye atumie akili ya kujenga ghorfa.

Ynwa
 
Kwani ACL si ndiyo iliyomtoa GOMEZ kwenye reli?
Gomez aliipata ACL akiwa na England u21 2015, akaja kukaa sawa akakiwasha akapata tatizo la kifundo cha mguu. Tangu happ naona hajarejea tena.

Pre season hii alipata minor ACL, his last best season was 2023/2024, baada ya happ naona anaonekana kwa nadra.

Ynwa.
 
Heheheh kaka hakuna mpinzani atakupa mbinu za ushindi kirahisi rahisi, hivi hivi. Ushauri umekaa ki-nerfique nerfique sana aisee nimeushtukia.

Team ikibana sana hua tunaondoka na haturudi ila Isak tutasubiri mpaka 1/9 fuone kama NUFC wataweka ngumu. Tukishindwa hapo na tuka click vizuri hatutarudi kwake. Mf. Zubi" Gravern ku click tu ikaisha.

Rio na Chiesa waki step up enough, we will walk off the deal.

Ninyi timu kwa sasa ipo well balanced you can do much better this season only if Arteta asipozidisha akili nyingi mahali pa kutumia akili ya kuvukia barabara, yeye atumie akili ya kujenga ghorfa.

Ynwa

Haya bhana. Sisi tunaleta usamaria wema wewe unatuona adui. Shauri yenu. Chiesa akikata moto na Ekitike akishajulikana vizuri na mabeki we EPL tusilaumiane.

Kuhusu Arteta mimi simuamini 100% kwenye suala la kutumia akili ndogo. Jamaa hachelewi kuanza kuleta mapattern ya drafti kwenye issue simple tu za pass mbili tatu and shoot.
 
Frimpong ❌
Bradley ❌
Gomez ⁉️
Endo ❓
Szoboszlai 👀
Curtis Jones ❗

Who would you start at right back vs Newcastle?
 
🥉 | @GraemeBailey: Crystal Palace are now actively trying to sell Marc Guehi to Liverpool before the transfer window shuts, with chairman Steve Parish unwilling to lose the defender on a free.

However, Liverpool still do not want to meet Palace's £40m asking price.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom