Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

1000114605.jpg

St James Park here we come 🔥🔥🔥
Monday Night Football is here 🥂🥂

YNWA
 
though nina mapenzi na Barca ila dah!, huyu jamaa transfer yake kuelekea Barcelona iliniuma sana
Huyu bwana pesa yake ndio kwa kiasi Fulani imetuletea haya mafanikio ya Leo maana FSG kabla ya pale walikua hawasomeki wanataka Nini.
Cha msingi alipo aenjoi tu maisha hakuna namna ule moto C10 ulikua balaa aisee.
Barcelona hii dili na zingine za hovyo zimewapeleka eneo la hatareee sanaaa mpaka kusajili wachezaji hua mchakamchaka ..


YNWA
 
The Rich Arabs are taking this to the wire😃😃😃😃it's a matter of who brink first haha quite saga....

YNWA
Its like a high stakes game of chicken nobody wants to blink first.

They have deep pockets plus pride, so they will drug to the wire only to prove their deep pockets and pride who is tougher.

Na wala hawajisumbui, umeona Gordon ametumika kama ST na Barnes as LW, kwamba wapo tayari kuishi bila Isak ndani ya uwanja isipokua wapo nae nje ya uwanja.

Lets sit back and watch who will be a champion (NUFC, LFC & ISAK) 9 days to go...
Ynwa"
 
Ikifika mahala kama hapa hua lazima mmoja akumbali yaishe na muda mwingi hua ni Klabu maana Haina maana kua na mchezaji kikosini ambae hana furaha kuwepo yaani Mwili upo lakini akili hazimo kabisa.

YNWA
Its now or never hii itakuwa statement ya LFC kwa Isak. Ila mwarabu kaweka ngumu.

Hawana any intention ya kumuuza isipokuwa wanatengeneza mazingira wasionekane wao ndio sababu.

Isak alishawaambia juu ya kutaka kuondoka mapema, wakajaribu kwa Ekitike 1st bid rejected waarabu wa NUFC watakuwa waarabu wa kambo hawakurudi tena. LFC wakampitia Ekitike. Push ya kumtaka na Isak ikaongezeka wakajaribu kwa Sesko akawachomolea. Hawana any option ya kumpata ST wa maana. Wanasumbuana na Brentford kumpata Wissa. My Opinion wamchukue Wissa na Jackson watafnya vizuri sana watapata vibe kama ile ya Demba Ba na Demba Cisse.

Hapa ndipo NUFC ime stuck, wanajua kabsa Isak hana intention ya kuendelea kubaki na aliongea na Eddie Howe kwenye game yao vs Everton, kwa hiyo walikuwa na room ya almost 3 months kutafuta signatures za maana.

Hii inakupa picha hawana strategy nzuri na inavyoonekana hawana project eleweka ya maana ndani ya klabu.

Isak anaona akiwa ndani ya LFC ya sasa CL spot season in seasoj out atashirika probability ya kuchukua major trophies ni kubwa unlike NUFC.

Unfortunately he has three years left on his contract, of which sio LFC ikimsubiri miaka yote. Akisubiriwa amalize contract aje as free agent atakuwa na 28 yrs, kama ingekuwa ni 1 yr im sure angesubiriwa.

Pamoja na kuto train na timu toka preseason kwa session kadhaa na sasa kutokucheza, lakini NUFC hauoni wakosema chochote kumuhusu mpaka alipoongea Isak, hawajamuwajibisha kwa vyovyote hii inakupa picha kwamba, kuna makubaliano yamekiukwa na Isak yupo sasa kutaka kuondoka.

Ynwa
 
Acheze Gomez tu hakuna namna

Hamstring injury kidogo afadhali si kama ile ACL yaani ni mbaya sana
ACL ni injury mchezaji akiipata kurejea alipoishia ni majaliwa. Hamstring ikiiwahi, amost ni mwezi hivi unarudi uwanjani.

Chiesa alinunuliwa £10m kwa sababu ya ACL hajarejea kwenye ubora.

May be this season will add up his value.
Get well soon to him

Ynwa
 
Isak amesema kwenye insta short stories ya kwamba wamenisaliti walichokisema msimu uliopita sicho wanacho fanya
Nukuu

Promises were broken," trust is gone, the relationship can’t continue—change is best for all.

Newcastle wanakana lakini mwamba hawezi Jidanganya
Si kwamba anaiba mbinu kwa Mswidi mwenzie tu huyu? 😀 😀 😀 Eti 'promises were made', promises kitu gani bhana? Isak kaona jinsi Gyokeres ameshinda vita na Sporting kwa kukomalia 'promises', akaona hii ndiyo njia yake ya kutokea pia ila huenda amekutana na matajiri wajeuri zaidi ya Sporting ambayo ni klabu ya umma 😀😀

Tuone hii hali itaishaje ila naona huyu mwamba atawafaa sana na wengi wetu hatutaki aje kwenu maana mna timu kali kinoma halafu mtakuwa hatari zaidi akija,
 
Its now or never hii itakuwa statement ya LFC kwa Isak. Ila mwarabu kaweka ngumu.

Hawana any intention ya kumuuza isipokuwa wanatengeneza mazingira wasionekane wao ndio sababu.

Isak alishawaambia juu ya kutaka kuondoka mapema, wakajaribu kwa Ekitike 1st bid rejected waarabu wa NUFC watakuwa waarabu wa kambo hawakurudi tena. LFC wakampitia Ekitike. Push ya kumtaka na Isak ikaongezeka wakajaribu kwa Sesko akawachomolea. Hawana any option ya kumpata ST wa maana. Wanasumbuana na Brentford kumpata Wissa. My Opinion wamchukue Wissa na Jackson watafnya vizuri sana watapata vibe kama ile ya Demba Ba na Demba Cisse.

Hapa ndipo NUFC ime stuck, wanajua kabsa Isak hana intention ya kuendelea kubaki na aliongea na Eddie Howe kwenye game yao vs Everton, kwa hiyo walikuwa na room ya almost 3 months kutafuta signatures za maana.

Hii inakupa picha hawana strategy nzuri na inavyoonekana hawana project eleweka ya maana ndani ya klabu.

Isak anaona akiwa ndani ya LFC ya sasa CL spot season in seasoj out atashirika probability ya kuchukua major trophies ni kubwa unlike NUFC.

Unfortunately he has three years left on his contract, of which sio LFC ikimsubiri miaka yote. Akisubiriwa amalize contract aje as free agent atakuwa na 28 yrs, kama ingekuwa ni 1 yr im sure angesubiriwa.

Pamoja na kuto train na timu toka preseason kwa session kadhaa na sasa kutokucheza, lakini NUFC hauoni wakosema chochote kumuhusu mpaka alipoongea Isak, hawajamuwajibisha kwa vyovyote hii inakupa picha kwamba, kuna makubaliano yamekiukwa na Isak yupo sasa kutaka kuondoka.

Ynwa
NUFC wakiwasumbua sana hii summer, mwacheni Isak abaki kwao awatese kwa hii miezi michache mpaka January.
January mtamchukua kwa 20m including add-ons.
 
NUFC wakiwasumbua sana hii summer, mwacheni Isak abaki kwao awatese kwa hii miezi michache mpaka January.
January mtamchukua kwa 20m including add-ons.
Heheh najua hamtuombei kwenye hili deal lifanikiwe.

Si unajua ligi huwa tunachukua round ya kwanza aisee?? Hiyo round ya pili huwa tunapimishana misuli na anayetufukuza.

Tuna weak bench, imagine anatoka Isak anaingia Ekitike, au anatoka Gakpo anaingia Ekitike. Tutakuwa na atleast game changer kwenye bench.

As per our culture deal tunakomaa nalo mara moja tu likishindikana anyhow tu tunaondoka mazima.
Ynwa
 
Heheh najua hamtuombei kwenye hili deal lifanikiwe.

Si unajua ligi huwa tunachukua round ya kwanza aisee?? Hiyo round ya pili huwa tunapimishana misuli na anayetufukuza.

Tuna weak bench, imagine anatoka Isak anaingia Ekitike, au anatoka Gakpo anaingia Ekitike. Tutakuwa na atleast game changer kwenye bench.

As per our culture deal tunakomaa nalo mara moja tu likishindikana anyhow tu tunaondoka mazima.
Ynwa
Yaani nawapa mbinu kabambe kiroho safi kabisa 😀😀😀😀 au unaona kama naleta unafiki? 😀😀

Pia najua nyie hamna jeuri ya kusema eti dili la Isak likikataa kabla ya 1st September eti mtaliacha. Mtakomaa nalo na ikishindikana mtamfuata January.

Isak mwenyewe anawahitaji mumchukue chaap kabla hajazeeka. Anajua msipomchukua sasa hivi ndiyo baaasi tena.
 
ACL ni injury mchezaji akiipata kurejea alipoishia ni majaliwa. Hamstring ikiiwahi, amost ni mwezi hivi unarudi uwanjani.

Chiesa alinunuliwa £10m kwa sababu ya ACL hajarejea kwenye ubora.

May be this season will add up his value.
Get well soon to him

Ynwa

Kwani ACL si ndiyo iliyomtoa GOMEZ kwenye reli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom