Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,095
Uongozi wa klabu ya Newcastle United umempa taarifa mshambuliaji wao raia wa Sweden Alexander Isak kuwa atatozwa faini endapo atakosekana kwenye mchezo wowote wa kimashindano, kuanzia wa wikiendi hii dhidi ya Aston villa. šš°
Pamoja na uongozi kumpa taarifa hiyo Isak, lakini mchezaji huyo kawajibu kuwa hatocheza mchezo wowote na hatishwi na hatua yoyote watakayo chukua dhidi yake.
Wakala wake pia kamwambia Isak asioneshe ishara yoyote ya kurudi nyuma kwenye harakati zake ambazo anaendelea kushinikiza aondoke klabuni hapo.
Mpaka kufikia sasa uongozi bado haujui utumie njia gani kumshawishi Isak arejee kwenye kikosi cha kwanza maana ni mchezaji tegemezi sana kwao na hawana mshambuliaji mwingine mwenye caliber kama yake.
Isak anaitaka Liverpool haijalishi atatozwa faini au vipi lakini hatocheza mchezo wowote akiwa na Newcastle msimu huu amesema hivyo....
Source: [ Alex Craig ]
Pamoja na uongozi kumpa taarifa hiyo Isak, lakini mchezaji huyo kawajibu kuwa hatocheza mchezo wowote na hatishwi na hatua yoyote watakayo chukua dhidi yake.
Wakala wake pia kamwambia Isak asioneshe ishara yoyote ya kurudi nyuma kwenye harakati zake ambazo anaendelea kushinikiza aondoke klabuni hapo.
Mpaka kufikia sasa uongozi bado haujui utumie njia gani kumshawishi Isak arejee kwenye kikosi cha kwanza maana ni mchezaji tegemezi sana kwao na hawana mshambuliaji mwingine mwenye caliber kama yake.
Isak anaitaka Liverpool haijalishi atatozwa faini au vipi lakini hatocheza mchezo wowote akiwa na Newcastle msimu huu amesema hivyo....
Source: [ Alex Craig ]