Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

BREAKING: Giovanni Leoni has completed main part of his medical and signs his contract as new Liverpool player!

Exclusive detail in addition: contract will be valid until June 2031, six year deal at Liverpool.

[@FabrizioRomano]
 

Arne Slot 🗣️

Kuhusu Dominik Szoboszlai kucheza nafasi ya chini zaidi…

"Nadhani anaweza kucheza nafasi zote mbili vizuri sana na ana ubora wake katika nafasi zote mbili, na pia kuna mambo anaweza kuboresha katika nafasi zote mbili. Kinachomshangaza Dominik ni jinsi anavyoweza kushambulia kwa shinikizo (press). Sidhani kuna wachezaji wengi wa kiungo duniani wanaoweza kushambulia kwa kiwango cha shinikizo kama anavyoweza yeye.

Lakini kama atacheza kama namba 10, nadhani kitu anaweza kuboresha ni kucheza kati ya mistari (between the lines), kupata mipira hapo na siyo tu lengo la mwisho (goli), bali zaidi kupeleka mipira ya kupitisha (through balls). Na kama atacheza nyuma ya mpira, si jambo jipya kwake, lakini hakujacheza sana hapo msimu uliopita, kwa hivyo mara nyingine unahitaji kuzoea wenzako na nafasi yako uwanjani.

Nadhani amekuwa na maandalizi mazuri sana ya msimu (pre-season). Hakucheza mchezo wake bora dhidi ya Palace, lakini kwa michezo mingine yote, alikuwa na maandalizi mazuri sana."
 
opyj0r4k3vif1.png
 
Is this kid better than quansah?
No big No
Leoni, however, is a rising star with significant upside due to his age.
hana uzoefu na hana game nyingi kwenye pitch
But liverpool target on for for long-term potential, Leoni could be the smarter pick.
Thus why amekula mkataba mrefu sana. Ila QUANSAH ni mzuri sana for immediately impacts bt kwa malengo ya mbali zaidi LEONI is better.
 
I’m waiting to see him play, but if his level is below Quansah’s, it will be a loss
Leoni ni mzuri sana kaka tumpe misimu miwili tu alafu utafurahi mwenyewe
Kwa kipindi hiki anaweza akacheza chini ya kiwango sababu bado hana uzoefu na pia hajafaana na zile CB. na liverpool haijatarget kbsa kumtumia na kupata manufaa nae kwa huu msimu. That is the long range potential

Both are ball-playing centre-backs. Leoni passing accuracy is slightly better than Quansah’s in his last season, but Quansah’s physicality and versatility (can play right-back) add flexibility. Urefu na physcal strength that is big advantage to pair with either Konate or VVD
Ila kwa interception dribbling dynamic rolling huyu dogo hafai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom